Nimemuacha rasmi leo!

Nimemuacha rasmi leo!

im new here, but you mdada unatisha, jiangalie vizuri if u are ok then take action or new step
 
TANZIA: Nimepata taarifa kwamba aliyeleta huu Uzi hatunaye tena. RWUD (rest where you deserve)
 
Ukishtuka utajikuta umezeeka, mwili hauna tena nguvu za kufanya kazi, papuchi haiuziki tena na kujiua unaogopa adhabu kwa Mungu. Hapo ndipo utaukumbuka huu muda unaoupoteza kwa kupaa nyoka na hela za wanaume, usizojua zimepatikana vipi.
 
pole mtu wangu lakini sio vizuri kuichagua njia isio sahihi kwani matokeo yake ndio kama hayo.lakn hakuna litakolokusaidia ni kumtanguliza mwenyezi MUNGU anayejua hitimisho la maisha yako ndugu yangu,kila la heri.
 
Tuliza kichwa: kuruka ruka sana utapunguza thaman yako...
Ukitaka kuheshimika jaribu kubadilika...najua bado unasoma..SOMA..put away ol drama.
Badilika ili usije ukaujutia muda huu unaoupoteza.
NAKUPENDA MDG ANGU

Nakupenda pya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom