Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Kwa jinsi alivyoleta maada yake, nahisi BBA Ni Bado Bado Atapatikana - yaani huyo mtu anayemtaka!
Hahahaaa hilo nalo nenooo
Kwa jinsi alivyoleta maada yake, nahisi BBA Ni Bado Bado Atapatikana - yaani huyo mtu anayemtaka!
kwani kuna sehemu nimeandika nataka kufa yeye ndo alisema,nife jf nimuachie nani lol
Hahaaaaa tutakuzika na smartphone ukaliendeleze na huko
Habari z jumapili wakuu
Sasa ni hivi,baada ya kutoka club jana usiku na mpenz wangu leo nimeamua niachane nae rasmi!moyo wangu ndiyo umeamua hivyo sijashawishiwa na mtu yyte!
Tatizo linakuja ntakuwa na na nani,vijana walioniuproch hawana hela kivile so siwez kuwa nao,kuna wababa kama wa3 watu wazito wanantaka nafikiria niwe na mmoja japo simpend hata kidogo,nijiweke tu kwa mda,cz siwez kuwa alon au nifanyaje wapendwa coz siwez mpotezea mkaka wa watu muda nimeamua nimuwache atafute mtu wa dini yake awowe!
Nipeni ushauri
Usinitukane coz ndo lyf yangu
Hahahaaaaa, kantangazeeeeee!
BBA ndo nini mpendwaa c wengine tumeishia darasa la 5B
We naeeee una maswaliii
BBA ni Big Brother Africa
Am 23 nna BBA
Nawe miakaa kila siku inabadilikaaa mara 23 mara 25 umekua Wema Sepetu!!!
Utangazwe wapi wewe wakati jirani ako tu hapo hakujuiiiii
Hehehe eti hawana hela. Kwanini usitafute za kwako. Huna elimu au ujuzi wowote wa kukuingizia kipato?
Ni
||"Tomorrow will say its a memory and we have enjoyed our lives for a couple of days."||