Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,611
Mchumba wangu ni mtu wa dini sana pamoja na familia yake, tuna mpango wa kuoana mwaka huu ila sijui lini, nimemwambia anipe mimba hataki, sina raha kusema kweli hadi mwezi wa tatu ajanipa tareh ya ndoa nachepuka zangu
Maisha nini bwana bila family? Sikubali heri nikose mume niwe na mtoto potelea mbali
KWANINI NILEE MTOTO WANGU UZEENI? SASA NAFANYA NINI KIJANA,AJE TULE MAISHA
Maisha nini bwana bila family? Sikubali heri nikose mume niwe na mtoto potelea mbali
KWANINI NILEE MTOTO WANGU UZEENI? SASA NAFANYA NINI KIJANA,AJE TULE MAISHA