Ajira yake October inakoma akajiajiriTechnically yupo sahihi kwani atayeshinda anafahamika kuwa ni huyu aliyepo.
Mkuu kwa kuwa huyu aliyepo madarakani anamaliza kipindi chake, na pia hakuna uhakika wa 100% wa yeye kurudi madarakani. Kwa hiyo kutoka ktk kundi la wagombea wa nafasi ya uraisi, yeyote yule anaweza kuwa Rais wa awamu ya Sita.Hivi hizi awamu huwa ni miaka mingapi,maana kama ingekuwa ni kila baada ya miaka 5 nafkri zingekuwa zimeshazidi awamu 5.
Mwenye kufahamu hili anifumbue macho.
...huhuuuuHivi hizi awamu huwa ni miaka mingapi,maana kama ingekuwa ni kila baada ya miaka 5 nafkri zingekuwa zimeshazidi awamu 5.
Mwenye kufahamu hili anifumbue macho.
Ni dhambi.Elimu yako ni muhimu
Hujui hata maana ya awamu.
Swali lako linanifanya niendelee kuwadharau masikini na wajinga
Awamu ni mtuHivi hizi awamu huwa ni miaka mingapi, maana kama ingekuwa ni kila baada ya miaka 5 nafikiri zingekuwa zimeshazidi Awamu 5.
Mwenye kufahamu hili anifumbue macho.
Siyo miakaHivi hizi awamu huwa ni miaka mingapi, maana kama ingekuwa ni kila baada ya miaka 5 nafikiri zingekuwa zimeshazidi Awamu 5.
Mwenye kufahamu hili anifumbue macho.
Hajakosea kabisa endapo lissu atashinda ataitwa rais wa awamu ya sitaHivi hizi awamu huwa ni miaka mingapi, maana kama ingekuwa ni kila baada ya miaka 5 nafikiri zingekuwa zimeshazidi Awamu 5.
Mwenye kufahamu hili anifumbue macho.
Yupo Ubalozi wa UjerumaniOne term president. Ajiandae kusindikizwa mwezi november 2020