I still insit Nyani Ngabu whether you like it or not
we have no right whatsoever to touch our partners phone.
I disagree with you wholeheartedly. If you have the right to touch your partner's privates then a thing such as a cell shouldn't be off-limits. And for you to say that no one has the right to touch his or his wife's phone flies in the face of everything that is reasonable. In fact, I think that's odd. Where is your common sense dude? What planet do you live in? This planet earth? Good grief!
getting married doesnt mean you have the right to invade his/her privacy.
Stop it right there. You ain't got no inkling whatsoever of what right to privacy is. I mean, none. So stop exposing your ignorance on this. Stop making a fool out of yourself. I repeat, you don't have a clue of what right to privacy is. Utilize google to liberate yourself from the shackles of ignorance, please.
Mobile phone is personal, it contains personal data of which no one is allowed to have access on it without owners consent.
Goodness gracious! Really? I mean, really? Kweli akili ni nywele na kila mtu ana zake. Ebana eeeh...yaaani daah. I am at a loss for words. Kwamba mkeo au mumeo hana "haki" ya kuangalia ama kushika simu ya mwenzie? Hmmm...haya bana. Nadhani sasa ninajua wewe nikuweke kwenye kundi gani. I'm sorry...I just have to lol.
Watanzania na waafrika tunadhani tuna hati miliki na wenzetu kwa kila kitu
Hii ishu haina Utanzania wala Uafrika. Ni kweli, hakuna mtu mwenye hati miliki ya mwenzake lakini kuna mambo ya busara na akili za kawaida tu. Suala la kushika ama kutumia simu ya mwenzako halihusiani kabisa na right to privacy. Yaani wewe akili yako wewe...hahahahaaaa basi tu. Ngoja nisiizungumzie sana. Lakini mweeeeh.....leaves a ton to be desired!
haya ni mawazo potofu na ya kijima. ndio maana wananawake hadi leo wanatendewa kaa watumwa
hawana sauti,mume anaweza kulazimisha atakacho hata emails nk akidhani ana haki ya kujua hivo
Mawazo ya kipumbavu ndiyo kama kudhani kitu kama kiNokia kinatakiwa kiwe cha siri. Una nini cha kuficha humo kwenye hicho kisimu hadi iwe vita mwenzako akikishika? Kama huna cha kuficha basi wala hutaona tabu mwenzako akikishika. Ni hivyo tu.
Ndio maana wenzetu Ulaya unaweza kushhtakiwa kwa kugusa simu ya mwenzio bila ruhusa yake
Hebu ongea kwa mamlaka basi. Toa mifano. Maana mimi jana nimeenda kwa rafiki yangu Mmarekani kuangalia mpira na simu zao zilikuwa zipo mezani na hakuna aliyekuwa na wasiwasi. Sasa Marekani si Ulaya. Nakuomba wewe utoe ushahidi hapa wa mtu au watu wa Ulaya walioshitakiwa kwa kugusa simu za wenza wao bila rukhsa. Na utoe na vifungu vya sheria vinavyosema ni marufuku kwa watu kushika simu za wenza wao. Ukishindwa kutoa ushahidi basi wewe ni mzushi wa daraja la kwanza. The ball is in your court.
Kuna kitu wanaita data protection directive ina eleza nini maana ya personal data
kwa afrika AU washaanza mchakato na soon itaingia Tanzania.
Sasa hiyo inahusiana nini na mambo ya ndoa na mahusiano ya wapenzi na simu zao? Hivi wewe....mweeeeh :confused2:! Ngoja niishie kusema hivyo tu.
Nyie mnaodhani ni haki yenu mkomeee kabisa
loving some1 doesnt mean you have the right to know all her/his persona data
sijui kama naeleweka.....kizazi cha digital hiki
Hueleweki. You are just a weirdo. Full of cockeyed ideas.