Nimemshika mchumba wangu na message ya kimapenzi

Nimemshika mchumba wangu na message ya kimapenzi

achana na simu ya mwenzio
huna uhalali wa kuingilia privacy yake
kama wampenda utamwamini
 
Ndo maana napenda uislamu, talaka inaruhusiwa, na ukiona vipi unaoa hadi wanne mmoja akizingua yaruhusiwa kupiga chini. Wanawake wasikuizi balaa tupu hawaaminiki..nimetoka kulibamba langu sio muda mrefu likiwasiliana na x wake...
 
mmh, hivi kuna twisheni ya hili suala la kuheshimu gadget za wenzi wetu?

Mie siwezi mbona, nikinyimwa kushika nakosa usingizi hata mwezi.

Lol...acha kupekenyua simu ya mpenzi wako. Wanasema eti ukifanya hivyo utajipa jakamoyo.

Kwa hiyo unachotakiwa kufanya ni kuficha kichwa chako mchangani na kujifanya kama hujui vile.
 
Niko katika mahusiano ya kimapenzi kwa muda sasa mpaka kumchumbia huyu niliye naye na kuishi naye.Juzi kuna message ya kimapenzi imeingia kwenye simu yake.Cha kushangaza amekuwa mkali baada ya mimi kuishika simu yake kwa kigezo kwamba hamjui huyo mtumaji ila atamfuatilia then anijulishe. Kumwambia afanye hilo zoezi hapo tukiwa pamoja akakataa.Nishaurini bandugu hiyo ni halali kweli mimi kusubiria mpaka amfuatilie mhusika ndio aniambie?asamteni kwa ushauri.
Eti nini? Umemchumbia na kuishi naye? Hivi unapochumbia ndio unapata uhalali wa kuishi na binti wa watu kweli? Dini gani hii inafundisha hivyo? Mi nilidhani ulimuoa na hivyo kukufanya wewe uwe na uhalali hata wa kuhoji kila kitu, kumbe bado unazini na kufanya uasherati? Ndio maana na yeye kaamua kuwa na wengine maana wewe na hao mahawara zake wa nje hamna tofauti, wote ni wazinzi tu!
 
SIMU YA MTU SUMU,

sumu ya mtu simu,


:A S 100::A S 100: :A S-frusty::A S 101:
 
achana na simu ya mwenzio
huna uhalali wa kuingilia privacy yake
kama wampenda utamwamini

Je kama ninampenda ndio, ila nina kila sababu ya kutokumwamini bado nisiipekue ili kupata uhakika wa ninachofikiria au kukiona?
 
mmh, hivi kuna twisheni ya hili suala la kuheshimu gadget za wenzi wetu?

Mie siwezi mbona, nikinyimwa kushika nakosa usingizi hata mwezi.
Hii habari ya kusema sijui eti usiiguse simu ya mwenzi wako mimi huwa siielewi kabisa!.
 

Aliyeivumbua hii quote alitokea mwisho kuja mwanzo!! Katika mtindo wa kujilaumu kuwa amekua ndio chanzo cha matokeo aliyokutana nayo baada ya udadisi!
Kwake yeye aliona ni bora kubaki bila kujua kuliko kudadisi ili kujua, maana aliamini unapodadisi utakutana na matokeo unayoyatarajia tu, katika mtindo wa kama kuyasababisha.

Binafsi sidhani kama udadisi wetu ndio unaotengeneza au kuchochea matendo au matokeo tunayokutana nayo, bali kinyume chake!
 
hii kitu ni ngumu ila kama sms imeingia halafu bidada anakuaja juu lazima kuna tatizo hapo.Muangalie huyo mtu kwa makini ,jamaa yangu huwa anatumia cm ya demu wake na pasward anaijua na wala hakuna tatizo ila sijui huo uhusiano wenu wa digital kama ni wachumba hamjafahamiana kiundana hamtalast just like chinese fake product
 
Wakuu.. Hii habari ya simu,kila couple ina namna inavyolichukulia.
Kuna couple ambazo mmojawapo is a busy person.. Pengine daktari bingwa wa magonjwa ya watoto,kinamama,ngozi,n.k. Akitoka kazini,jioni ana dispensary yake,akitoka hapo tatu usiku. ana maclient kibao. Au wafanyabiashara,kazi za marketing,ambazo zinahusisha kukutana na watu aina mbalimbali..
Yaani kwanza hata muda wa kufikiria simu ya partner huna,unawaza uzime simu na kupanda kitandani,upumzike.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom