huwezi kumhisi mwenzio mabaya kama nawe hufanyi mabaya
siku zote mwizi anahisi mwenzake nae mwizi
watu wanacheat sana bila hata kutumia simu
maofisini huko lunch time ndio muda wa kucheat
watu wanamiliki simu zaidi ya moja line tofauti
akifika home line ya kucheat inafichwa,msg zinafutwa mapema
ni kujidangaya kupoteza muda kukagua simu, Nyani Ngabu na wewe muda huou unao?
wanawake ni watu wajanja sana hapo unajidanganya tu kwa kuamini kusearch simu yake utamfahamu tabia zake zote,same kwa wanaume ujanja wetu twaujua wenyewe
kwanini simu tu chukueni hata passwords za wenza wenu za email, facebook,whatsApp,MSN nk.
im married yes with to lovely kids, i never touch my wife's mobile, yangu iko wazi sifichi,
I trust her why should I waste my time inspecting her phone?
kukagua simu ya mkeo hakuna tofauti na kukagua pochi yake anapotoka job.
Im a privacy activist so i dont think U have a right to invade your fiancées personal matter without her consent
kwanini kujipa pressure za bure? wazee wetu hawakuwa hivi ndio maana life yao ni ndefu
vijana mkifika 50 years ni bahati kumshukuru Mungu.
Una mke wewe? Na kama unae ukijua anatombesha hovyo hovyo hovyo kama kuku utaendelea kufanya mambo ya kiuchumi au kujisomea hata basi kuangalia movie nk?