Lokissa
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 7,445
- 2,507
hivi muda wa kuanza kupekuwa simu ya mwenza mnaupata wapi?
kwanini msiutumie huo muda kufanya mambo ya kiuchumi au kujisomea hata basi kuangalia movie nk
kama wamwamini mwenzio I dont think utakuwa na muda wa kuwaza hayo
waafrika tunadhani tuna hati miliki na wenza kutaka kujua kila kitu afanyacho kumbe twajidanganya tu
kwanini msiutumie huo muda kufanya mambo ya kiuchumi au kujisomea hata basi kuangalia movie nk
kama wamwamini mwenzio I dont think utakuwa na muda wa kuwaza hayo
waafrika tunadhani tuna hati miliki na wenza kutaka kujua kila kitu afanyacho kumbe twajidanganya tu