Nimemshangaa General Mirisho Sarakikya

Upuuzi mtupu, mwanaume mzima uache shughuli zako uende ukachangie kwa maandishi ili upate sitting allowance!?

Shughuli zako muda wa kazi? Hivi mwajiliwa analazimika kwenda ofisini kila siku, kazi zote anazozifanya ofisini hawezi kuzifanya nyumbani.
Waswahili wanamsemo kwamba “ukikubali kuolewa, kubali kulala bila c*upi”
Kama haukuona umuhimu wa hizo shughuli zako ukaomba kazi nyingine, kunali masharti yake. Kama ana majukumu mengine nje ya ubunge anayohisi ni muhimu zaidi angeiga mfano wa Mo Dewj.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Ndio hivyo sasa anaona aibu hata kuchangia katikati ya hilo kundi la wajinga.
 
Ndio maana huku udanganyikani mabadiliko yakweli yanachelewa sababu watu wa Vyombo vya Dola na wastaafu hawaamini katika hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekuja kurealise Tanzania Ina watu wanafiki sana haswa wana ccm ubongo wao wameeanika. Juwani mtu alikuwa mkuu wa majeshi anaingia kwenye propaganda hivi kwa nini wana mkweza Magufuli kwa kuvuruga demokrasia kwa ajili ya matumbo yao
 
Utoro ni kukosa nidhamu ;

Nasari kawatusi wana arumeru mashariki wote kwa kukataa wajibu waliompa kwa heshima..

Ameamua kufanya mambo binafsi akaachana na dhamana ya wengi..
 
Aisee huyu Sarakikya hapa chini naye atoe maelezo vizur
 
CCM kwenye madarska wanakua kitu cha ajabu...awamu hii wamezibisha kuliletea aibu taifa..
 
[emoji3][emoji3]

5/5
 
Utoro ni kukosa nidhamu ;

Nasari kawatusi wana arumeru mashariki wote kwa kukataa wajibu waliompa kwa heshima..

Ameamua kufanya mambo binafsi akaachana na dhamana ya wengi..

Spika kaweka mpira kwapani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…