NaimaOmari
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 801
- 46
Mwenyezi Mungu awape subra katika kipindi hichi kigumu ... hakika sote twaelekea kwake .... Sifa zote ni zake SUBUHANAH ... hatuna budi kutii amri zake.
Mwenyezi awasamehe madhambi yao na awajaalie pepo .. Amin
Mwenyezi awasamehe madhambi yao na awajaalie pepo .. Amin