Nimempiga mimba mke wa mtu

Nimempiga mimba mke wa mtu

Jiandae na wew kupigwa mimba usisahau kurudisha feedback!
 
Watu wengine mnaharibu jinsia yetu, jinsia ya mtu wa kwanza Adam (kwa imani ya dini kuu za wa Tz). Kidume hakiwezi kuja kuomba ushauri hapa kwa ishu ndogo kama hiyo. Watu tushapiga mimba mtoto wa askofu, rpc miaka hiyo tena akiwa under age na maisha yakaendelea seuze mke wa mtu.
Nina was was na huo "udume wako"
 
Umefanya yote aujarizika sasa umeamua kuja kujisifia uku
Aya basi hongera!
 
Watu wengine mnaharibu jinsia yetu, jinsia ya mtu wa kwanza Adam (kwa imani ya dini kuu za wa Tz). Kidume hakiwezi kuja kuomba ushauri hapa kwa ishu ndogo kama hiyo. Watu tushapiga mimba mtoto wa askofu, rpc miaka hiyo tena akiwa under age na maisha yakaendelea seuze mke wa mtu.
Nina was was na huo "udume wako"

Kudadeki kamanda uko vizuri
 
Huyu Mungu kwa nini hamumrudiagi mkipata mishahara na ujira??!
You consciously went on kuzini na kufanya uzinzi, akakuacha kwa utashi wako (kindani moyoni ulijua fika ufanyacho sio sahihi), mmelikoroga na huyo mwenzako sasa mlinywe.

Actually ukiwa mwizi sharti ujue namna ya kutopatikana na ushahidi wa kutosha (elimination of plausible evidence), sasa wewe hujaacha manyoya tu bali hadi mifupa umeweka mfukoni.

Mkuu si unajua mpaka ukikosa ndo majuto yanakufumbua macho
 
Vipi kama mkeo alikuwa kama huyo Uliempiga mimba?Ungempa ushauri gani mke?


Ukiwa na jibu basi subiri zamu yako..
 
Ni kheri ukae kimya utunze ndoa yako, hata hivyo kama yuko kwenye ndoa matoto/watoto watakaozaliwa ni wa mume wake. Binamu yangu alikuwa na soo kama hilo la kwako tena mama alizaa mapacha,

mpaka kesho roho inamuuma lakini watoto ni wa mume mwenye ndoa. Alichofanya ni kujenga urafiki na familia na kuna siku anaomba mapacha akawafanyie shopping ya shule lakini hathubutu kufungua mdomo kwa mengine.

Naona unampatia maujanja. mwanamume au mwanamke aliyetembea na mke au mume wa mwenziwe ni wa kulaaniwa tu.
 
Subiri mkeo nae aje ajazwe mkong'oto jazz band. Itakua poa sana ama nini.... ----- wewe!!!
 
Kidume

Mbona huku tuomba ushauri wakati mnafanya upuuzi wenu......Hivyo usivyotaka kujua hata mkeo hataki kujua kuwa nae wanaipigia wenzako na kama mna watoto pia mkeo hataki ujue kama sio wako. hivyo endelea na ujinga wako
 
Last edited by a moderator:
Kwani juzi kati ndio siku, wiki, miez au miaka mingapi?
 
Back
Top Bottom