- Thread starter
- #61
Huwezi kutubu wakati mambo yashaharibika. Hapo ni mke wa jamaa pekee ndiyo anaweza kukutunzia siri, kwa kuaminisha kwa mume wake kwamba kitanda hakizai haramu. Ila kama mambo yakienda vibaya sana huna budi kumruhusu jamaa nae amtie mimba mke wako, ili uone utamu wake.
Hapo kwenye kumpiga mimba mke wangu ndo pagumu aisee