Nimempiga mimba mke wa mtu

Nimempiga mimba mke wa mtu

Wakuu mambo vipi, juzi kati nikimtokea demu mmoja mkali kiaina. Katika hapa na pale akanikubalia mchezo bila ajizi. Kumbe walikuwa na mgogoro wa kiaina na mmewake. Mzee nikawa napiga kazi za nje bila waifu wangu kujua. Mambo yakawa matamu mpaka anamtoroka Mme wake anakuja napiga mzigo kisha anarudi kulala home kwake.

Sasa juzi kati dizaini kaniambia Mzee kimekatikia kama wiki tatu sasa. Nina Mashaka kama ni mzigo wangu au wa jamaa yàke. Pia sitaki waifu ajue maana itakuwa shida sana na jamaa yàke akijua lazima waifu wangu atajulishwa. Nipo njia panda , nimekoma kula vya watu. Nataka kumrudia Mungu nimekosa sana.

Ushauri wakuu
andaa mkundu wenye m'boo waje kula
 
aaaah usijari kidume,mbona mimi napija mkeo mwaka wa pili na tunamtoto mmoja na wewe mimi mbona sijaomba ushauli na wewe waendelea kunikuzia mtoto wangu.....!!?ndukiiii
 
aaaah usijari kidume,mbona mimi napija mkeo mwaka wa pili na tunamtoto mmoja na wewe mimi mbona sijaomba ushauli na wewe waendelea kunikuzia mtoto wangu.....!!?ndukiiii


Daah saluti mkuu kama umenizidi maujanja poa tu ndo kazi ya vidume, ila nikikudaka mwana namalizaa tu..
 
Kamuombe mkeo ushauri atakusaidia coz Yule ni mwanamke mwenzake so atajua jinsi ya kusovu
 
Watu wengine mnaharibu jinsia yetu, jinsia ya mtu wa kwanza Adam (kwa imani ya dini kuu za wa Tz). Kidume hakiwezi kuja kuomba ushauri hapa kwa ishu ndogo kama hiyo. Watu tushapiga mimba mtoto wa askofu, rpc miaka hiyo tena akiwa under age na maisha yakaendelea seuze mke wa mtu.
Nina was was na huo "udume wako"

Sasa badilishaneni majina hayo.
 
Ungekuja kuomba ushaur kabla hamjafikia uamuaz wa kuzini nafikiri hapa pangekuwa mahali sahihi kurud kuomba ushaur tena! lkn kwa kuwa mlikubaliana mkiwa wawili tu na mjitahid pia kulinywa hili mlilolikoroga kwa ushirikiano uleule mliokuwa mnauonesha mlipokuwa mnazini. Nawatakia maamuz mema..........
 
Huwezi kutubu wakati mambo yashaharibika. Hapo ni mke wa jamaa pekee ndiyo anaweza kukutunzia siri, kwa kuaminisha kwa mume wake kwamba kitanda hakizai haramu. Ila kama mambo yakienda vibaya sana huna budi kumruhusu jamaa nae amtie mimba mke wako, ili uone utamu wake.
 
Wenzio wanatangaza nia ya kugombea u raisi wewe unatangaza umempa mimba mke wa mtu!
 
Wenzio wanatangaza nia ya kugombea u raisi wewe unatangaza umempa mimba mke wa mtu!

Ukija kwenye jukwaa LA siasa utakuta na Mimi na campaign manager wa mgombea wangu hajatangaza rasmi bado, utaniona tu usijali. Ila hoa watangaza nia wakija jukwaa hili kuweka stori zao utakimbia mabalaa yao
 
Back
Top Bottom