- Thread starter
- #81
Anita Baby nishauri basi, naona noma ishu ikiharibika,afu kabebii natamani nikaone daah..masikin.... had huruma ila aliyataka
Last edited by a moderator:
Anita Baby nishauri basi, naona noma ishu ikiharibika,afu kabebii natamani nikaone daah..masikin.... had huruma ila aliyataka
Daaaah mshikaji anamahasira, mambo mengine yanatokea katika mazingira flani hivi ya utata. so hilo liache kwanza tu sovu ishu..Watu wengine bana utadhani hawatumii akili, huyu naye... ebu fikiria angekuwa ni mke wako ndo kafanyiwa hivyo wewe ungejisikiaj? Watu wengi wanafikiri baada ya kutenda omg, unajua kbs unafanya kosa then unakuja kuomba ushauri, nyambafu wewe.
Hapo penye red huwa mnarefer kitu gani? mbona kila anayekujaWakuu mambo vipi,
Juzi kati nikimtokea na msichana mmoja mzuri. Katika hapa na pale akanikubalia mchezo bila ajizi. Kumbe walikuwa na mgogoro wa kiaina na mme wake.
Mzee nikawa napiga kazi za nje bila waifu wangu kujua. Mambo yakawa matamu mpaka anamtoroka mme wake anakuja napiga mzigo kisha anarudi kulala home kwake.
Sasa juzi kaniambia mzee haoni siku zake. Nina mashaka kama mimba ni yangu au ya jamaa yàke. Pia sitaki mke wangu ajue maana itakuwa shida sana na jamaa yàke akijua lazima waifu wangu atajulishwa.
Nipo njia panda nimekoma kula vya watu. Nataka kumrudia Mungu nimekosa sana.
Ushauri wakuu
Thanks bae.... sema sifa ulizonipa zina walakini, usije nipiga mimba bureee.
Hapo penye red huwa mnarefer kitu gani? mbona kila anayekuja
analeta story ya msichana /mwanamke mzuri sana
mnataka kutuaminisha wanaotembea nje ya ndoa zao ni
wanawake wazuri tu! Mbona hakuna anayeleta ushuhuda wa
mwanamke mbaya?
Hizi swaga za kovaa huku MMU naona zimeanza kuzidi.
Sasa hicho unachosifia chako au cha wiziAsa hata kama mbaya kwako kwangu mzuri, ndo maana kila mtua anasifia chake kitu..
Wakuu mambo vipi,
Juzi kati nikimtokea na msichana mmoja mzuri. Katika hapa na pale akanikubalia mchezo bila ajizi. Kumbe walikuwa na mgogoro wa kiaina na mme wake.
Mzee nikawa napiga kazi za nje bila waifu wangu kujua. Mambo yakawa matamu mpaka anamtoroka mme wake anakuja napiga mzigo kisha anarudi kulala home kwake.
Sasa juzi kaniambia mzee haoni siku zake. Nina mashaka kama mimba ni yangu au ya jamaa yàke. Pia sitaki mke wangu ajue maana itakuwa shida sana na jamaa yàke akijua lazima waifu wangu atajulishwa.
Nipo njia panda nimekoma kula vya watu. Nataka kumrudia Mungu nimekosa sana.
Ushauri wakuu
kwa kauli hii ni dhahiri shule yangu hugusi, na nimekuacha mbali sana. Pili huwezi kuwa na mke wewe, na demu wako naweza kumchukua pia..Mleta Mada wewe unatakiwa usiwepo duniani ni hasara kwa taifa mtu kama wewe huna elimu
kwa kauli hii ni dhahiri shule yangu hugusi, na nimekuacha mbali sana. Pili huwezi kuwa na mke wewe, na demu wako naweza kumchukua pia..
Hata mkeo nae analiwa na hao watoto wa mkeo sio wako
We jamaa shida kweli kweli.........mimba ya mke wa mtu sio ya kwako...Full stop..hata kama ulichepuka naye