no9
Senior Member
- Nov 11, 2010
- 188
- 18
kama nikipindi cha makuzi uko katika kipindi cha balehe kila mmoja ammeanza kuonyesha tabia yake halisi mpaka mje mkopu ni miaka mitano mpaka kumi ndoa nyingi zinakufa kati ya miaka 2-4 kama ustamilivu hautakuwepo kumbuka hilo ndilo chagulo lako la awali kama hukushikizwa au kushawishiwa na mtu yeyete ndoa nimaagano yanyotoka moyoni na ndiyo maana unashirikisha wazazi ndugu na jamaa huyo unayetoka naye hajulikani angalia uje mwacha mkeo kwa kutema biggii kwa kunjeshwa karanga