Wee ni dini gani? Maana nasikia kuna dini inaruhusu Mwanamume kuoa zaidi ya mwanamke mmoja lakini ina restrict mwanamke kuolewa na mwanaume zaidi ya mmoja na inafahamika kama ni dini ya haki. Ukishaniambia wewe ni dini gani nitakuwa kwenye position nzuri ya kukushauri.
Shekhe Gorogosi Jr , Umejaribu kubadili simu zako ili ukate mawasiliano kama bado jaribu, pili ukiwa umeshindwa dini yako inakuruhusu upto 4, then go ahead uzidi kugonga kihalali zaidi.
Mimi nimeoa miaka 3 iliyopita, lakini imetokea sina hamu na Mke wangu, badala yake ninampennda sana sana na ninatoka na Msichana mwingine. Sijui nifanyeje! Natamani kweli kupata ushauri wa jinsi ya kumwacha huyu dada.... Kila nikijaribu kumwacha nashindwa, akinitext tu nakuomba tutoke naingia line. .. Hata leo anataka nikampe dozi... JJamani nisaidieni!:eyebrows::eyebrows:
@Shekhe Gorogosi oa mke wa pili kiishe kama uko kwenye hiyo imaniMimi nimeoa miaka 3 iliyopita, lakini imetokea sina hamu na Mke wangu, badala yake ninampennda sana sana na ninatoka na Msichana mwingine. Sijui nifanyeje! Natamani kweli kupata ushauri wa jinsi ya kumwacha huyu dada.... Kila nikijaribu kumwacha nashindwa, akinitext tu nakuomba tutoke naingia line. .. Hata leo anataka nikampe dozi... JJamani nisaidieni!:eyebrows::eyebrows:
Islam dini yangu. ila msikiti nimeusahau kwa kitambo sana. Asante woooote mnaoona ni tatizo na kushauri vizuri. nimepata kitu kidogo kwakweli.