Nimempenda baba yake zaidi

ushaona fursa wewe acha kutuzuga.. Maana baba hana mke sasa unataka ummiliki wewe na umeona mzee yupo vizurii 😀😀😀
 
Sky Eclat yaani baada ya kusoma huu ujumbe imenibidi nirudie kuangalia ID ya original poster kama Mara sita ivi

Heck, mpaka nime refresh kuona kama itabadilika
 
Bado sijampa.
Na siku ukimpa tu..utakinai mwenyewe
Utatamani kurudi kwa dogo..
Kilichokuongoza kumpenda ni tamaa ya mwili na sio mapenzi kutoka moyoni...mwili una tamaa..which iz bad
 
Mpe mzee airarue sasa..![emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
We kweli sky
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…