Mdada na mashoga zake ni wapuuzi sana hao ndo wanaosimuliana hadi jinsi bwana anavyomkunja huko roomUpuuzi mwingine ni kufungua zawadi mbele ya mashabiki, ili iweje?
Huyo kashindwa kujua mpenzi wake anapenda nnWengine hawapendi surprise, ndio maana huyo jamaa baada ya kumsuprise bebe yeye ndio kawa surprised
Yaani la wazazi wako analihandle muhasibu wako, sasa wa kishua unapelekaje Colgate ya buku na wewe muda mwingine kuwaga seriousMi wakishua mkuu,labda ka unaongelea kwa wafanyakazi shambani kwangu hilo anali handle muhasibu wangu
Perfume yes, dawa ya meno kama zawadi ya birthday, ukakasiKatika kuonesha mahubati kidume nikajikamua nikamnunulia perfume kali na dawa moja ya mswaki nikafunga kwenye kibox maalumu siku yake ya kuzaliwa ,cha ajabu nimeambulia mijitusi eti ile zawadi aliifungua na rafiki zake wamemcheka sana eti inamaanisha yeye ananuka mdomo na kwapa wajameni nifanye nini?
Wa kishua unapeleka dawa ya meno!!!!Mi wakishua mkuu,labda ka unaongelea kwa wafanyakazi shambani kwangu hilo anali handle muhasibu wangu
Hee ni ya usd 30 na perfume usd 100 ,pambana na kukosa kwako ajira mtoto wa maskini weWa kishua unapeleka dawa ya meno!!!!
Anyway jitahidi uwasaidie na masikini wengine si lazima mtu akufanyie kibarua ndio umpe pesa au msaada wowote.
Pole sana mtoto wa kishua unalalamika kwa kutumia USD 130. Kimahesabu ni zaidi ya laki mbili.Hee ni ya usd 30 na perfume usd 100 ,pambana na kukosa kwako ajira mtoto wa maskini we
Wakishua unampa manzi dawa ya mswaki na perfume kama zawadi!???Mi wakishua mkuu,labda ka unaongelea kwa wafanyakazi shambani kwangu hilo anali handle muhasibu wangu