Nimempa zawadi ameninunia

Nimempa zawadi ameninunia

Huyo kashindwa kujua mpenzi wake anapenda nn
Akachukua zawadi kama anampelekea mtoto wa shule

Tena inaonekana mpenzi wake alikuwa na expectation kubwa juu ya zawadi atakayoleta bebe wake
Hah hah hah Labda bebe aliexpect kupewa gari
 
Aisee kweli binadamu tunatofautiana. Maana hamna kitu naheshimu kama zawadi hata iwe ndogo vipi.

Kaa naye umueleweshe huenda ikawa hajui hata nini maana ya zawadi. Pia apunguze kuwa na tafsiri zilizo hasi kiasi hicho.
ushauri bora kabisa
 
Kwanini zawadi yako ifunguliwe na marafiki zake? Zawadi ya mpenzi/wazazi anatakiwa kuifungua mwenyewe.
 
Kuishi na baadhi ya wanawake yataka moyo... Alitegemea kukuta Bonge la zawadi..Anyways kununa ni kawaida yao

Zawadi ni zawadi mimi nijuavyo, tena ndio huwa inaimarisha ukaribu na upendo ila yeye anageuza ugomvi na kununa...inasikitisha sana kwa kweli..Na hapo sijui kama kuna mapenzi ya kweli!!!!!!!

Mkuu usiumize kichwa sana..Timiza majukumu yako kwake yanayotakiwa... akili yake ikikaa sawa ataelewa
 
Mwambie akurudishie ukawape wahitaji mkuu
 
Mwambie arudishe umpe anachotaka ambacho kitakuwa sio zawadi
 
Badala ya mswaki ungemuwekea kale ka chupi kwenye kimkanda cjui zinaitwaje hata hao mashuhuda wangeshikwa na ashki ya kukutafuta...usirudie kumpa mtu zawadi ya Whitedent jamaa, na perfume pelekea japo ya kuanzia 50 na kuendelea sio ile ya buku 3, mpenzi wako unamgharamia ni tofauti na kuwa mpenzi mtazamaji
 
Mpe mimba mzee hapo utamuweza zaidi ya hapo wala usijisumbue hua hawaliziki hawa
 
Achana na hizo insecurities mzee zitaharibu mahusiano yako.

Yani wewe ununue zawadi na bado uumize kichwa kama kazipenda au lah,

Hupaswi kujiuliza maswali kama hayo Mkuu, ataona hujiamini kabisa na mwanaume asiyejiamini hapendwi na Mwanamke yyte confidence ni namba moja anachovutiwa nacho mwanamke kutoka kwa mwanaume.

Haijalishi, kama hajaipenda hiyo zawadi wewe haikuhusu.

Kama umempa zawadi na hajazipenda wewe haikuhusu piga kimya acha kuanza kumlamba lamba ..
Acha ku-seek validation mkuu.. ameshakwambia "nimepata zawadi thanks" . Sasa kwani i uwe na wasiwasi mkuu, maana yake hujiamnini ...?

Ishu yako sio big deal lakini unaifanya hivyo kwa kujijaza uwoga na wasi wasi usio na msingi, umetingishwa kidogo unaanza kuweweseka mkuu

Mwanamke anyekupenda kutoka moyoni hata ukimnunulia ubuyu kama zawadi umepitia ofcn kwake mfano na kumpa atafurahi sana kwani kwa upendo alio nao kwako utamfanya aweze kushukuru hata kwa vitu vidogo...

So acha kusikiliza ushauri sijuo wa zawadi za funguo za gari, iPhones etc. Upendo wa kweli haununuliwi unatokana na hisia alizonazo mtu juu yako... wangapi wamewagharamia hadi kuwasomesha wachumba na wakaachwaKwenye mataa...

Chakufanya Kwa kuwa ameamua kukaa kimya na wewe piga kimya.. maana ulishajaribu kumuuliza nini kimemsibu.

Atakapoona kimya atajirudi na kukutafuta lakini kwasasa endelea kuakazana na biashara zako mkuu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom