Nimempa shemeji yangu ujauzito

Nimempa shemeji yangu ujauzito

Nashauri kwanza hata ajira usipewe maana utatuharibia watoto wetu. Na ingekuwa kwetu swanga ukigoma kuoa tunakuoteshea na maziwa ili uone raha ya usaliti.
FB_IMG_1487479283185.jpg
.Muone mwenzio hapa. Hatupendi ujinga sisi.
 
Naomba ushauri

Nimekuwa nikijihusisha na kuchepuka na mdogo wa mpenzi wangu ambaye ndiye namtegemea kumuoa hapo baadae maisha ya ajira yakikaa vizuri

Sasa nimejitokeza hapa nahitaji ushauri kwani nahisi kuchanganyikiwa kabisa kwani huyu mdogo wa mpenzi wangu amenasana ujauzito na hii alinitaarifu sikuamini hadi hapo leo nilipoamua kumpeleka hospitari akapimwa na ana mimba ya miezi miwili!

Wakuu nakuombeni mnishauri kwa hali hii nakababiliana nalo vipi na uyo wife wangu wa badae hatakiwi kujua hii kitu kwani ananipenda na ninampenda sana

Nahitaji mawazo yenu
😀😀😀😀 kwikwikwi 😀 si uliona raha chomeka toa, siku nyingine njoo uombe ushauri kabla haujazini na shemeji yako
 
Kutoa mimba ni marufuku, lea hiyo mimba pia huyo dada mkubwa huna future nae ndio maana umepanda mbegu kwa mdogo basi palilia na uvune kwa huyo huyo dogo (shemejiyo)
 
Pole sana.
utaanzaje kumvua nguo shemeji yako
Nyambaafuu
 
Naomba ushauri

Nimekuwa nikijihusisha na kuchepuka na mdogo wa mpenzi wangu ambaye ndiye namtegemea kumuoa hapo baadae maisha ya ajira yakikaa vizuri

Sasa nimejitokeza hapa nahitaji ushauri kwani nahisi kuchanganyikiwa kabisa kwani huyu mdogo wa mpenzi wangu amenasana ujauzito na hii alinitaarifu sikuamini hadi hapo leo nilipoamua kumpeleka hospitari akapimwa na ana mimba ya miezi miwili!

Wakuu nakuombeni mnishauri kwa hali hii nakababiliana nalo vipi na uyo wife wangu wa badae hatakiwi kujua hii kitu kwani ananipenda na ninampenda sana

Nahitaji mawazo yenu
Anakupenda na unampenda sna ?? Nyaambaf hivi unajua maana ya kupenda wewe kwel umpende mtu halafu umgegede mdogo wake haya nenda kauwe kiumbe uusubir moto
 
Waite wote uweke wazi ukweli wa mambo. Usijidanganye kutoa mimba wala kuficha kama haikutokea kitu. Halafu wao ndo wataamua ni adhabu gani itakufaa kukuwajibisha. Jipange sawasawa.
 
Sema hiyo mimba ni yangu... umlete kwangu Mombasa Kenya nikupinguzie mawazo, alafu ufanye mipango ya harusi faster yakumuoa mkubwa ake. Na usirudie upuzi kama huo tena!!
 
Ivi kuchepuka ni silka ya mtu au hulka? Mana sielewi, hapo ndungu yangu umepika Bomu, pole sana.
 
Nashauri kwanza hata ajira usipewe maana utatuharibia watoto wetu. Na ingekuwa kwetu swanga ukigoma kuoa tunakuoteshea na maziwa ili uone raha ya usaliti. View attachment 478734.Muone mwenzio hapa. Hatupendi ujinga sisi.
Wenzio huko!

Mletee ndugu yako apewe mgegedo kiroho safi na izo mambo yenu hata haziwezi kunipata
 
Basi endelea na huo mchezo ila kama kweli unasubiri ajira ukishaajiriwa mwisho wako ni miaka mitatu mwalimu wa sanaa maana hakuna anayependa kujaziwa nyumbani mijukuu isiyo na baba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom