Uwe makini kuliko kuja kutesa mtoto Bora kutoa kuliko kujumlisha na ukimrudia kitanasa Tena kizazi Kiko wazi
Bora kutolewa kuliko mtoto kuteseka kwa zinaa zenu, mtoto huna ada ya kumpeleka feza kwanini uzae kwa starehe zako, watoto walikutumaAcha kushauri watu tabia mbaya, kutoa mimba ni dhambi kubwa.
nimehakiki kweli ama mimba na nimemwambia kutoa hataki kabisa hzo habari ndg zangu nifanyaje Mimi nimechanganyikiwa kabsa..! MAJUTO NI MJUKUUHabar wanajukwaa,
Mimi ni baba wa MKE mmoja wa ndoa na mtoto mmoja mwanzoni mwa mwezi February niliamua kuazisha mahusiano na mwanamke wa nje ya ndo yaan asiye Mke wangu tumekuwa tukisafri mikoa mbalimbali kwa Siri bila mama watoto wangu kujua.
Lea mimba na mtoto akitoka ...epusha angalia mambo ya Neema na Zungunimehakiki kweli ama mimba na nimemwambia kutoa hataki kabisa hzo habari ndg zangu nifanyaje Mimi nimechanganyikiwa kabsa..! MAJUTO NI MJUKUU
Ushauri wangu
Usimuoneshe kupaniki..lichukulie hilo very casual.. Ukionesha taharuki umekwisha. Utakuwa mtumwa wake mwanzo mwisho
Bora kutolewa kuliko mtoto kuteseka kwa zinaa zenu, mtoto huna ada ya kumpeleka feza kwanini uzae kwa starehe zako, watoto walikutuma
Sema utam utam 🤣🤣🤣🤣🤣Habar wanajukwaa,
Mimi ni baba wa MKE mmoja wa ndoa na mtoto mmoja mwanzoni mwa mwezi February niliamua kuazisha mahusiano na mwanamke wa nje ya ndo yaan asiye Mke wangu tumekuwa tukisafri mikoa mbalimbali kwa Siri bila mama watoto wangu kujua.
Mwezi june alinijuza kwamba anahisi kama ana ujauzito na mimi nilimuomba sana ajitahid kupima na kweli alipima alikuta tayari anaujauzito hapa nina
Nan kaniroga nadhani hizi mada hazina uhalisia .ni za kutunga na hii sio fair..maana mtu anaweza kujikunja na kukushauri kumbe ni fictionHabar wanajukwaa,
Mimi ni baba wa MKE mmoja wa ndoa na mtoto mmoja mwanzoni mwa mwezi February niliamua kuazisha mahusiano na mwanamke wa nje ya ndo yaan asiye Mke wangu tumekuwa tukisafri mikoa mbalimbali kwa Siri bila mama watoto wangu kujua.
Mwezi june alinijuza kwamba anahisi kama ana ujauzito na mimi nilimuomba sana ajitahid kupima na kweli alipima alikuta tayari anaujauzito hapa nina wiki mbili nimechanganyikiwa kabisa Maana najiuliza vipi mke wangu akijua kwamba nilifanya hivyo.
Naombeni ushauri wenu najiona si chochote Mimi hapa dunian sikutegemea kama itatotekea hivyo maana mwanamke huyo alikuwa anatumia sindano kwa hiyo tumekuwa tukilana tu bila wasiwasi nimehakiki kweli ama mimba na nimemwambia kutoa hataki kabisa hzo habari ndg zangu nifanyaje Mimi nimechanganyikiwa kabsa
hujampenda kwa dhati..kuvunja ndoa kuna gharama kubwaMume akileta ufedhuli wake navunja ndoa..sitaki upumbaf
Wakati ulipokuwa unafika kileleni ulifikiri kinachokutoka ni kamasi au sanitaiza? Wajibika kwa uzembe wako kuwaruhusu mabeberu watue bila kuwavisha barakoa.Habar wanajukwaa,
Mimi ni baba wa MKE mmoja wa ndoa na mtoto mmoja mwanzoni mwa mwezi February niliamua kuazisha mahusiano na mwanamke wa nje ya ndo yaan asiye Mke wangu tumekuwa tukisafri mikoa mbalimbali kwa Siri bila mama watoto wangu kujua.
Unaitwa Nan kanirogaHabar wanajukwaa,
Mimi ni baba wa MKE mmoja wa ndoa na mtoto mmoja mwanzoni mwa mwezi February niliamua kuazisha mahusiano na mwanamke wa nje ya ndo yaan asiye Mke wangu tumekuwa tukisafri mikoa mbalimbali kwa Siri bila mama watoto wangu kujua.
Mwezi june alinijuza kwamba anahisi kama ana ujauzito na mimi nilimuomba sana ajitahid kupima na kweli alipima alikuta tayari anaujauzito hapa nina wiki mbili nimechanganyikiwa kabisa Maana najiuliza vipi mke wangu akijua kwamba nilifanya hivyo.
Naombeni ushauri wenu najiona si chochote Mimi hapa dunian sikutegemea kama itatotekea hivyo maana mwanamke huyo alikuwa anatumia sindano kwa hiyo tumekuwa tukilana tu bila wasiwasi nimehakiki kweli ama mimba na nimemwambia kutoa hataki kabisa hzo habari ndg zangu nifanyaje Mimi nimechanganyikiwa kabsa