Umeniacha hoi bibie,kale kamchezo ni katamu lkn madhara yake ni mzigo usiobebeka kirahisi.Ulivyokuwa unamtawanya miguu hukuona aibu ila sasa hivi ndiyo unaiona?????
Ulivyokuwa unamtawanya miguu hukuona aibu ila sasa hivi ndiyo unaiona?????
Wakuu,
Naomba mnisaidie kwa hili.
Nimempa mimba mdogo wa rafiki yangu kipenzi, namuambia aitoe hataki. sio kama sina uwezo wa kumuhudumia ila naogopa jinsi watu watakavyonichukulia kutokana na status yangu.
Naona aibu sana jamii inayonizunguuka ikija kufahamu hii habari. naombei mnisaidie wakuu nifanye nini kuondokana na aibu iliyo mbele yangu? Kuhusu kumpeda nampenda sana binti na nina mpago aje awe mama wa watoto wangu lakini sio kwa kuzaa nje ya ndoa.
Kijana mkimya heshima kwako!!!,Mimi ninakushauri kuwa uache mara moja mpango wako muovu wa kutaka kuua kiumbe kisichokuwa na hatia,Mkuu hiyo ni dhambi kubwa sana mbele ya Muumba wetu,mwenye Mamlaka na uweza wa kuondoa pumzi ni yeye aliyetuumba hivyo ni bora ukamwacha huyo binti azae kosa litakuwa dogo kuliko kutoa mimba,Usiogope aibu wewe ni mtoto wa Kiume kuwa kauzu zaidi ya Kaka kuona,Si ulitaka chai ukamvua chupi mtoto wa mwenzio kula bati hadi kiumbe kizaliwe;Halafu mtoto akishazaliwa nakushauri umuoe huyo binti Ndoa mtafunga baada ya kuweka mambo yote sawa;Nakuambia kinyume na hapo Mkong'oto utakaoupata kutoka kwa aliyekuumba ni babu kubwa kiasi ambacho utatamani Dunia hii ipasuke na wewe ujifukie humo.Chonde sana usifanye unyama huo nakuomba sana mkuu.
Wakuu,
Naomba mnisaidie kwa hili.
Nimempa mimba mdogo wa rafiki yangu kipenzi, namuambia aitoe hataki. sio kama sina uwezo wa kumuhudumia ila naogopa jinsi watu watakavyonichukulia kutokana na status yangu.
Naona aibu sana jamii inayonizunguuka ikija kufahamu hii habari. naombei mnisaidie wakuu nifanye nini kuondokana na aibu iliyo mbele yangu? Kuhusu kumpeda nampenda sana binti na nina mpago aje awe mama wa watoto wangu lakini sio kwa kuzaa nje ya ndoa.
Wakuu ebu nisaidieni katika hili, nimshauri vipi huyu mtoto akubaliane nami maana anakataa hataki kusikia kabisa habari hizo.
Wakuu,
Naomba mnisaidie kwa hili.
Nimempa mimba mdogo wa rafiki yangu kipenzi, namuambia aitoe hataki. sio kama sina uwezo wa kumuhudumia ila naogopa jinsi watu watakavyonichukulia kutokana na status yangu.
Naona aibu sana jamii inayonizunguuka ikija kufahamu hii habari. naombei mnisaidie wakuu nifanye nini kuondokana na aibu iliyo mbele yangu? Kuhusu kumpeda nampenda sana binti na nina mpago aje awe mama wa watoto wangu lakini sio kwa kuzaa nje ya ndoa.
Wakuu ebu nisaidieni katika hili, nimshauri vipi huyu mtoto akubaliane nami maana anakataa hataki kusikia kabisa habari hizo.
Wakuu,
Naomba mnisaidie kwa hili.
Nimempa mimba mdogo wa rafiki yangu kipenzi, namuambia aitoe hataki. sio kama sina uwezo wa kumuhudumia ila naogopa jinsi watu watakavyonichukulia kutokana na status yangu.
Naona aibu sana jamii inayonizunguuka ikija kufahamu hii habari. naombei mnisaidie wakuu nifanye nini kuondokana na aibu iliyo mbele yangu? Kuhusu kumpeda nampenda sana binti na nina mpago aje awe mama wa watoto wangu lakini sio kwa kuzaa nje ya ndoa.
Wakuu ebu nisaidieni katika hili, nimshauri vipi huyu mtoto akubaliane nami maana anakataa hataki kusikia kabisa habari hizo.
mkuu kama una ushauri nipe niondokane na hii aibu. mengine tuyaache