rich dady001
Member
- Oct 22, 2015
- 15
- 1
Sa unampenda VIP afu unataka aitoe..?? Sio issue we ongea na bint mpange mipango ya cherekooo
Ulivyokuwa unamtawanya miguu hukuona aibu ila sasa hivi ndiyo unaiona?????
ahahahahha....kama umempa na unaona hastaili basi "MNYANGANYE"......umesema unampango aje awe mama watoto wako kisha unataka aitoe hiyo mimba?....kwani hiyo mimba hatozaa watoto wako...au atazaa watoto wa mbwa na wewe ni binadamu so unaona aibu?.....makalio yako ya bluuuu pambafu sana kijana. hustaili kuwa mume ...achilia mbali kuwa baba.
Hivi bado mnatumia hiyo mipira?Hivi condom huwa hamziona (gi) au?????
?anyway, Muoe.....
Wakuu,
Naomba mnisaidie kwa hili.
Nimempa mimba mdogo wa rafiki yangu kipenzi, namuambia aitoe hataki. sio kama sina uwezo wa kumuhudumia ila naogopa jinsi watu watakavyonichukulia kutokana na status yangu.
Naona aibu sana jamii inayonizunguuka ikija kufahamu hii habari. naombei mnisaidie wakuu nifanye nini kuondokana na aibu iliyo mbele yangu? Kuhusu kumpeda nampenda sana binti na nina mpago aje awe mama wa watoto wangu lakini sio kwa kuzaa nje ya ndoa.
Wakuu ebu nisaidieni katika hili, nimshauri vipi huyu mtoto akubaliane nami maana anakataa hataki kusikia kabisa habari hizo.
hiyo haiwezekani mkuu
Hivi bado mnatumia hiyo mipira?
Anyway, labda kwa viruka njia..lakini ukiwa njia kuu unamenya ndizi kwanza ndio uile..
Wakuu,
Naomba mnisaidie kwa hili.
Nimempa mimba mdogo wa rafiki yangu kipenzi, namuambia aitoe hataki. sio kama sina uwezo wa kumuhudumia ila naogopa jinsi watu watakavyonichukulia kutokana na status yangu.
Naona aibu sana jamii inayonizunguuka ikija kufahamu hii habari. naombei mnisaidie wakuu nifanye nini kuondokana na aibu iliyo mbele yangu? Kuhusu kumpeda nampenda sana binti na nina mpago aje awe mama wa watoto wangu lakini sio kwa kuzaa nje ya ndoa.
Wakuu ebu nisaidieni katika hili, nimshauri vipi huyu mtoto akubaliane nami maana anakataa hataki kusikia kabisa habari hizo.
Wakuu,
Naomba mnisaidie kwa hili.
Nimempa mimba mdogo wa rafiki yangu kipenzi, namuambia aitoe hataki. sio kama sina uwezo wa kumuhudumia ila naogopa jinsi watu watakavyonichukulia kutokana na status yangu.
Naona aibu sana jamii inayonizunguuka ikija kufahamu hii habari. naombei mnisaidie wakuu nifanye nini kuondokana na aibu iliyo mbele yangu? Kuhusu kumpeda nampenda sana binti na nina mpago aje awe mama wa watoto wangu lakini sio kwa kuzaa nje ya ndoa.
Wakuu ebu nisaidieni katika hili, nimshauri vipi huyu mtoto akubaliane nami maana anakataa hataki kusikia kabisa habari hizo.