MduduWashawasha
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 1,653
- 605
Wakati unamtengeneza huyo mtoto tumboni hukuona aibu ? huyo ni kama mdogo wako kabisa
Wakuu,
Naomba mnisaidie kwa hili.
Nimempa mimba mdogo wa rafiki yangu kipenzi, namuambia aitoe hataki. sio kama sina uwezo wa kumuhudumia ila naogopa jinsi watu watakavyonichukulia kutokana na status yangu.
Naona aibu sana jamii inayonizunguuka ikija kufahamu hii habari. naombei mnisaidie wakuu nifanye nini kuondokana na aibu iliyo mbele yangu? Kuhusu kumpeda nampenda sana binti na nina mpago aje awe mama wa watoto wangu lakini sio kwa kuzaa nje ya ndoa.
Wakuu ebu nisaidieni katika hili, nimshauri vipi huyu mtoto akubaliane nami maana anakataa hataki kusikia kabisa habari hizo.
km c mwanafunzi fanya mipango ya ndoa fasta uoe then status yako kitaa itapanda badala ya kushukaWakuu,
Naomba mnisaidie kwa hili.
Nimempa mimba mdogo wa rafiki yangu kipenzi, namuambia aitoe hataki. sio kama sina uwezo wa kumuhudumia ila naogopa jinsi watu watakavyonichukulia kutokana na status yangu.
Naona aibu sana jamii inayonizunguuka ikija kufahamu hii habari. naombei mnisaidie wakuu nifanye nini kuondokana na aibu iliyo mbele yangu? Kuhusu kumpeda nampenda sana binti na nina mpago aje awe mama wa watoto wangu lakini sio kwa kuzaa nje ya ndoa.
Wakuu ebu nisaidieni katika hili, nimshauri vipi huyu mtoto akubaliane nami maana anakataa hataki kusikia kabisa habari hizo.
Wakuu,
Naomba mnisaidie kwa hili.
Nimempa mimba mdogo wa rafiki yangu kipenzi, namuambia aitoe hataki. sio kama sina uwezo wa kumuhudumia ila naogopa jinsi watu watakavyonichukulia kutokana na status yangu.
Naona aibu sana jamii inayonizunguuka ikija kufahamu hii habari. naombei mnisaidie wakuu nifanye nini kuondokana na aibu iliyo mbele yangu? Kuhusu kumpeda nampenda sana binti na nina mpago aje awe mama wa watoto wangu lakini sio kwa kuzaa nje ya ndoa.
Wakuu ebu nisaidieni katika hili, nimshauri vipi huyu mtoto akubaliane nami maana anakataa hataki kusikia kabisa habari hizo.
MUOE FASTA NDIO JIBU NA UTAHESHIMIKAWakuu,
Naomba mnisaidie kwa hili.
Nimempa mimba mdogo wa rafiki yangu kipenzi, namuambia aitoe hataki. sio kama sina uwezo wa kumuhudumia ila naogopa jinsi watu watakavyonichukulia kutokana na status yangu.
Naona aibu sana jamii inayonizunguuka ikija kufahamu hii habari. naombei mnisaidie wakuu nifanye nini kuondokana na aibu iliyo mbele yangu? Kuhusu kumpeda nampenda sana binti na nina mpago aje awe mama wa watoto wangu lakini sio kwa kuzaa nje ya ndoa.
Wakuu ebu nisaidieni katika hili, nimshauri vipi huyu mtoto akubaliane nami maana anakataa hataki kusikia kabisa habari hizo.
Rafiki yako atafurahi sana kama utajitambulisha na eventually kumuoa dada yake. Usijaribu kumshawishi kutoa mimba. Mtoto wa watu hataki kutoa mimba na je akitoa na ikawa ndiyo mwisho wa yeye kupata mimba na let say umemuoa na mna taka mtoto in the future itakuwaje? Mungu akusaidie ufanya maamuzi yanayompendeza Mungu kuliko kupendeza wanadamu. Do the right thing brother.Wakuu,
Naomba mnisaidie kwa hili.
Nimempa mimba mdogo wa rafiki yangu kipenzi, namuambia aitoe hataki. sio kama sina uwezo wa kumuhudumia ila naogopa jinsi watu watakavyonichukulia kutokana na status yangu.
Naona aibu sana jamii inayonizunguuka ikija kufahamu hii habari. naombei mnisaidie wakuu nifanye nini kuondokana na aibu iliyo mbele yangu? Kuhusu kumpeda nampenda sana binti na nina mpago aje awe mama wa watoto wangu lakini sio kwa kuzaa nje ya ndoa.
Wakuu ebu nisaidieni katika hili, nimshauri vipi huyu mtoto akubaliane nami maana anakataa hataki kusikia kabisa habari hizo.
Naomb namm niongezee nyama hapo hapo! Je akienda toa then ikawa ni sababu ya mwisho wa pumz zake, kwasababu kutoa mimb ni dhamb kubw na ina matokeo tofaut, you never know! Uoni kam mtoto wa watu akidanji itakua laana kwako???Rafiki yako atafurahi sana kama utajitambulisha na eventually kumuoa dada yake. Usijaribu kumshawishi kutoa mimba. Mtoto wa watu hataki kutoa mimba na je akitoa na ikawa ndiyo mwisho wa yeye kupata mimba na let say umemuoa na mna taka mtoto in the future itakuwaje? Mungu akusaidie ufanya maamuzi yanayompendeza Mungu kuliko kupendeza wanadamu. Do the right thing brother.