ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,972
- 1,649
- Thread starter
- #41
Baba siku zote anakuwa na huruma na hg,
kama baba yuko hivi mama atafanyaje,
but ngojea mavuno yako na utayaona.
sijui kwa nini watu mmeng'ang'ana na simu. hebu angalieni hatari kubwa kutokana na hayo matendo yake. Inawezekana mtu akaishi bila simu, lakini ukiharibiwa watoto wako ni balaa zaidi kuliko kuwa na simu. familia nyingi watoto wamekatazwa kumiliki simu na wazazi wao binafsi sioni kama hiyo ni udhalilishaji unapomzuia mtoto kuhodhi simu