Kunasimulizi nyingi kuhusu huyu mwamba ambazo hazijawahi andikwa.
Katika simulizi nilihadithiwa na bibi warafiki yangu mwaka juzi tu ikanishangaza kumbe mwamba kweli alikuwa ananguvu za kishetani bibi huyo anasema kipindi,alipo kuwa binti ndo wakati huo Hitler anapambana na ungereza kwenye koloni la east africa vita vilikuwa vikali Wa German wakashindwa ikabid waachie koloni.
Bibi huyo anasema hitler alikimbia kuna mpaka upo huko kaskazini mwa tanzania umepakana na Kenya kuna mto mkubwa Sana ndo umetenganisha Tanzania na kny.
Juu kuna mlima mrefu kiasi chini ndiyo huo mto kufika pale mwamba alijirusha kutoka juu ya mlima mpaka kwenye mto akazamia chini Waingereza wakafika piga mabomu kuuzingira huo mto lakini mwamba hakuonekana.
Akaja kuibukia huko mbele na hiyo ndo ilikuwa mara ya mwisho kuikanyaga ardhi ya africa hajawai rudi.
Stori nyingine kuna sehemu huko huko inasadikiwa aliacha sanduku lake katikati ya jiwe kuna msitu unapitisha maji unaambiwa kuna mzee alienda kulichukua ilo sanduku kufika akaliona ile kuchukua akapofuka macho.
Kama na wewe ulishawahi kusikia habari zake huyu mwamba unaeza jazia.
Katika simulizi nilihadithiwa na bibi warafiki yangu mwaka juzi tu ikanishangaza kumbe mwamba kweli alikuwa ananguvu za kishetani bibi huyo anasema kipindi,alipo kuwa binti ndo wakati huo Hitler anapambana na ungereza kwenye koloni la east africa vita vilikuwa vikali Wa German wakashindwa ikabid waachie koloni.
Bibi huyo anasema hitler alikimbia kuna mpaka upo huko kaskazini mwa tanzania umepakana na Kenya kuna mto mkubwa Sana ndo umetenganisha Tanzania na kny.
Juu kuna mlima mrefu kiasi chini ndiyo huo mto kufika pale mwamba alijirusha kutoka juu ya mlima mpaka kwenye mto akazamia chini Waingereza wakafika piga mabomu kuuzingira huo mto lakini mwamba hakuonekana.
Akaja kuibukia huko mbele na hiyo ndo ilikuwa mara ya mwisho kuikanyaga ardhi ya africa hajawai rudi.
Stori nyingine kuna sehemu huko huko inasadikiwa aliacha sanduku lake katikati ya jiwe kuna msitu unapitisha maji unaambiwa kuna mzee alienda kulichukua ilo sanduku kufika akaliona ile kuchukua akapofuka macho.
Kama na wewe ulishawahi kusikia habari zake huyu mwamba unaeza jazia.