Ha ha ha!!!! Unadhani mi mwanasisa!!!!.....kaisha ondoka kwaachia chama chenu na mabadiliko wenu mbona bado mnaweweseka! Tulie dawa iwaingie nyie wazungusha mikono na viuno...siasa ni sayansi sio kutanguliza makengeza mbele
Ha ha ha!!!! Unadhani mi mwanasisa!!!!.....kaisha ondoka kwaachia chama chenu na mabadiliko wenu mbona bado mnaweweseka! Tulie dawa iwaingie nyie wazungusha mikono na viuno...siasa ni sayansi sio kutanguliza makengeza mbele
Ni kazi kubwa sana kutafuta demokrasia ya kweli kwa kutumia vijana wenye njaa mbili kali .yaani ile ya tumboni na ile ya utosini.