Malalamiko yapo tangu enzi za ukolonikwanini watu wanalalamikia awamu hii?
Kwa sasa chama changu chadema ni kama hatuna katibu mkuu. Aliyepo hana tofauti na pazia.Yule mzee namkubali sana. Chadema wote wanammisi sana dk. hasa baada ya aliyebadilishiwa gia angani kuacha watu Solemba!
kuhusu kupoteza ushawishi UNAJIDANGANYA.Nini risasi usisahau mkutano wa chadema ambao ulipigwa bomu huko Arusha! Basically wengine tulijua nini kingetokea kwa Chadema baada ya kupoteza uchaguzi hasa kupoteza ushawishi.
Hata Mbowe alijua matokeo yake ndio maana alisema atajiuzuru akishindwa!
Unajipa matumaini fake. Hakuna cha nyau wala paka.Bado tinasheherekea kifo cha Nyau. Yule bosi wa wasiojulikana. Hayo mambo ya slaa hayana msisimko kwa sasa
Kila mbunge karuhusiwa kufanya siasa jimboni kwake, wabunge wangapi wameenda kuunga juhudi? Hyo ina maanisha wapo upinzani sababu Fulani ila hawana itikadi mioyoni mwao. Na haya yalianza kwa mwenyekiti 2015Mkuu kama unafikiria kwa kutumia kiungo stahiki ebu niambie ungekuwa ni wewe ungefanya nini wakati hata mikutano yao ya ndani hawaruhusiwi
Sasa think tank ya chadema ni Mashinji... Sijui waliwaza nn hawa watu...Ila pia Dr Slaa ana kipaji cha kujieleza kwa level nyingine. Ule mdahalo ITV ambao CCM walimkimbia alisimamisha nchi kwa hoja zilizopangwa na zinaelezwa kwa utulivu bila matusi wala mihemko.
Hata hotuba ya Serena alipindua upepo wote na hadi kesho itabakia kuwa hotuba bora sana. Acha apumzike zake tu kwa zile sarakasi alizofanyiwa na watu aliowaamini sana unaweza kufa kwa pressure.
Hakika mkuuDr Slaa alikuwa anapendwa na watu wengi watu walikua wanapenda kusikikiliza hotuba zake na tukaamini ndiye rais wetu ajaye upepo ulibadilika Lowasa alipo karibishwa chamani mambo yakawa ndivyo sivyo binafsi nitamkumbuka sana Dr Slaa na sijaona mtu mwingine wa kuvaa viatu vyake.
katiba gani inasema kila mbunge karuhusiwa kufanya siasa jimboni kwake tu?huko ni kuleta utengano wa kitaifa badala ya kuwaunganisha watanzania.Kila mbunge karuhusiwa kufanya siasa jimboni kwake, wabunge wangapi wameenda kuunga juhudi? Hyo ina maanisha wapo upinzani sababu Fulani ila hawana itikadi mioyoni mwao. Na haya yalianza kwa mwenyekiti 2015
Kila mbunge karuhusiwa kufanya siasa jimboni kwake, wabunge wangapi wameenda kuunga juhudi? Hyo ina maanisha wapo upinzani sababu Fulani ila hawana itikadi mioyoni mwao. Na haya yalianza kwa mwenyekiti 2015
Nonsense, Ngoja nikwambie Dr Slaa Hana Cha kupoteza Hata akiacha ubalozi Leo.Mwache Balozi Dr Slaa ale Maisha ughaibuni maana siasa za uongo, majitaka, usaliti na undugu siyo mchezo zinazeesha sana. Ni bora sasa hivi aongeze life span yake huko huko karibu na anapobeba maboksi Tundu Antipasi Lissu.
Dr mashinji yupo yupo tu ni kama vile mfanya kazi hewa





Shuntama funika bovu.Alinyimwa kugombea ubunge akiwa CCM akahamia CDM,kanyimwa kugombea uraisi akiwa CDM akahamia CCM. Kwa hiyo yeye haoni wengine kufaa kugombea bali yeye tu!?
Shida yake kubwa hana maamuzi, maamzi hutoka kitchen.
Ok. Ila punguza Povu...Usipaniki....RelaaaxxxNonsense, Ngoja nikwambie Dr Slaa Hana Cha kupoteza Hata akiacha ubalozi Leo.
Anachosimamia ni uzalendo.
Nenda kajifunze namna alivyo kosoa serikali na kuisimamia
Ni mfanyakazi hewa wala si la kumumumya hili.Dr mashinji yupo yupo tu ni kama vile mfanya kazi hewa