Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 6,637
- 10,721
Maongezi kati ya Mama na binti yake
Binti; Mama leo nimemkomoa Juma, si ulisema akija nisikubali kupanda juu ya mpera kwasababu nia yake ni kunichungulia nguo ya ndani?
Mama; Nikweli kabisa binti yangu una akili sana, enhe alipokuja ulikataa kupanda kumuangulia mapera?
Binti; Hapana Mama
Aliponiambia panda uniangulie mapera basi nikaingia ndani nikavua chupi anayoichungulia halafu nikapanda
Mama; Atiiii?
Binti; Basi huko chini akawa anahangaika kweli kuchungulia lakini haioni
Basi nikachuma mapera yote hadi maua, yeye kakazani kanyaga tawi hilo na mguu mwingie tawi lile angua na majani, lakini hajaiona kabisa nguo yangu ya ndani
Mama; Tobaaaaaaaaaa
Akaanguka akazirai
Binti; Mama leo nimemkomoa Juma, si ulisema akija nisikubali kupanda juu ya mpera kwasababu nia yake ni kunichungulia nguo ya ndani?
Mama; Nikweli kabisa binti yangu una akili sana, enhe alipokuja ulikataa kupanda kumuangulia mapera?
Binti; Hapana Mama
Aliponiambia panda uniangulie mapera basi nikaingia ndani nikavua chupi anayoichungulia halafu nikapanda
Mama; Atiiii?
Binti; Basi huko chini akawa anahangaika kweli kuchungulia lakini haioni
Basi nikachuma mapera yote hadi maua, yeye kakazani kanyaga tawi hilo na mguu mwingie tawi lile angua na majani, lakini hajaiona kabisa nguo yangu ya ndani
Mama; Tobaaaaaaaaaa
Akaanguka akazirai