Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,190
- 34,526
Kwani huyo jamaa pia ni mpenzi wako?
kama una wapenzi wawili hujui uchague yupi...
Nimecheka Sana ma hii comment ha ha ha ha
Kwani huyo jamaa pia ni mpenzi wako?
kama una wapenzi wawili hujui uchague yupi...
basi tushangaanane ama vipi?
Ok labda uache usharobaromi sijui niliona tu naitwa.
Umenikumbusha mbali. 'Rafiki ni bora kuliko mwanasesere'. Majarida ya Nyangwine hayafundishi hivyo. Hivo vidubwasha vimejaa madukani. Kwenye magari mengi ya masharo vimewekwa kwenye dashboardUkikaribia kuwa babu kama mie basi utaelewa
Hivi unajua kuwa rafiki ni bora kuliko mwanasesere?