BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,230
Mmmmmmmh
Kwani huyo jamaa pia ni mpenzi wako?
kama una wapenzi wawili hujui uchague yupi...
Kua kwanza dogo
Hataki kuwakosa wote. Mitala raha sana kwa wadau!
Mmmmmmmh
aagh wana, kwanini mnakuwa wagumu kuelewa? au mnacomment bila kusoma?
Shortie, you musta missed on the
![]()
Kama unavyotushangaa ndivyo na sisi tunavyokushangaa!
hey! what's this?
Hata ID FAKE INAAKISI UHALISIA WAKO.sababu hyo ID ilikuwa ktk fikra zako.kasome kwanza.
We ni powerbank? Unachajiwa na kuchaji?
Utakuwa toka mwanzo ulishaanza kumtamani huyo mpenzi wa rafiki yako
Unadhani huyo dada ana mapenzi ya kweli na na wewe mana kama aliweza kumsaliti mpenzi wake na kutoka na rafiki yake bila aibu wala woga subiria kibuti chako
Jitayarishe kuwakosa wote kwa pamoja ubaki peke yako
Kwani huyo jamaa pia ni mpenzi wako?
kama una wapenzi wawili hujui uchague yupi...