Nimemharibia rafiki yangu ili niwe na mpenzi wake

Nimemharibia rafiki yangu ili niwe na mpenzi wake

Kwanza wewe ujielewi pili huyo msichana nae ajielewi sidhani kama mtadumu subiria maumivu utakayo yapata coz hicho kibinti kinashawishika kirahisi hata me nakuja kukishawishi nikidonyoe afu nakipiga chini ili mradi kinipe tu natumia mbinu zako hizo hizo... najua me unijui sasa subiri mrejesho hapa hapa jamvini
 
Wewe kweli sharo wengine huwa tunaomba kwanza hekima kwa Mungu before kushauri.Kwa hii mada yako wewe bado mtoto.Hata nikikushauri hutaelewa.
 
Mara nyingi watu kama wewe wana sifa ya kutojiamini na unajiboost self esteem kwa kutongoza wapenzi wa watu wengine. Kama huamini, jichunguze kama huyo mwanamke anakupenda kwa dhati mpaka sasa na kama mtadumu.
Yeye alikufuata kwa kuwa alikosa pa kuegemea na wewe ukajifoji uonekane kidume kuliko jamaa yako. Sasa baada ya kukaa kidogo na Wewe, huyo mwanamke, atakuwa ameanza kunote madhaifu yako ambayo hukuwa umeyaonyesha mwanzoni na pia wewe utakuwa umeanza kuchoka kujifoji na hivyo uhusiano wenu umeanza kuwa boring kwa sababu hamna kinachowaunganisha zaidi ya tukio la huyo mwanamke kumdump jamaa.
Chunguza hata stori zenu kama ziko interesting mkiwa pamoja.
 
Mu hali gani wanajukwaa?

Nahisi ukisoma title ya hii thread kidogo utastuka, lakin ukweli ni kwamba;Niliamua kumkandia [kumharibia] rafiki yangu kwa msichana wake ili mimi nimpate, na nilifanya ivo kwa sababu kwanza yule msichana alikuwa na upendo wa dhati lakini alipenda asipopendwa, alikuwa mtu wa kuomba msamaha hata kila anapobebeshwa lawama.

TATIZO yule rafiki yangu, hakuujua umuhimu wa mwanamke,alipenda sana kumlaumu hata kwa kosa dogo anaweza kumsimanga mpaka unamkuta anakosa raha,kwa kutambua anapendwa alimnyanyasa kwa kujua kwamba hawezi kumuacha.

Jambo ambalo lilinifanya nikawa naumia kumuona mtoto mzuri akiteswa ndipo nilipoamua kuingiza swaggz [kumtongoza] na kumshauri aachane na yule bwana wake.

Na mpaka sasa anaishi/tunaishi kwa raha kabisa, sema kuna tatizo ambalo limejitokeza ni kwamba yule rafiki yangu sasa hatuongei nae, ndo nawaza je nivunje penzi langu na huyu demu ili nirudishe urafiki na jamaa yangu au niendeleze mapenzi na msichana urafiki wetu na jamaa ufe?


Y'all need to grow up!!
 
Usaliti ni dhambi ya kurithi, hutakaa uiache ila najua baada ya mda mfupi utapata malipo yake na usiumie
 
Mara nyingi watu kama wewe wana sifa ya kutojiamini na unajiboost self esteem kwa kutongoza wapenzi wa watu wengine. Kama huamini, jichunguze kama huyo mwanamke anakupenda kwa dhati mpaka sasa na kama mtadumu.
Yeye alikufuata kwa kuwa alikosa pa kuegemea na wewe ukajifoji uonekane kidume kuliko jamaa yako. Sasa baada ya kukaa kidogo na Wewe, huyo mwanamke, atakuwa ameanza kunote madhaifu yako ambayo hukuwa umeyaonyesha mwanzoni na pia wewe utakuwa umeanza kuchoka kujifoji na hivyo uhusiano wenu umeanza kuwa boring kwa sababu hamna kinachowaunganisha zaidi ya tukio la huyo mwanamke kumdump jamaa.
Chunguza hata stori zenu kama ziko interesting mkiwa pamoja.

Rejea juu mkuu nimekwambia
young sharo said:
mpaka sasa anaishi/tunaishi kwa raha
 
Wewe kweli sharo wengine huwa tunaomba kwanza hekima kwa Mungu before kushauri.Kwa hii mada yako wewe bado mtoto.Hata nikikushauri hutaelewa.

na sijakulazimisha unishauri ndugu yangu coz zaidi najua utanipoteza tu.
 
Uliwah kumshauri tafiki yako kwa vitendo anavyo fanya? Au ilikuwa ni opportunity kwako? Maana usije ukabeba dhambi ya makwazo


,........................ole wao wanaowasababishia makwazo wenzao............duu Biblia ipo fiti
 
Mu hali gani wanajukwaa?

Nahisi ukisoma title ya hii thread kidogo utastuka, lakin ukweli ni kwamba;Niliamua kumkandia [kumharibia] rafiki yangu kwa msichana wake ili mimi nimpate, na nilifanya ivo kwa sababu kwanza yule msichana alikuwa na upendo wa dhati lakini alipenda asipopendwa, alikuwa mtu wa kuomba msamaha hata kila anapobebeshwa lawama.

TATIZO yule rafiki yangu, hakuujua umuhimu wa mwanamke,alipenda sana kumlaumu hata kwa kosa dogo anaweza kumsimanga mpaka unamkuta anakosa raha,kwa kutambua anapendwa alimnyanyasa kwa kujua kwamba hawezi kumuacha.

Jambo ambalo lilinifanya nikawa naumia kumuona mtoto mzuri akiteswa ndipo nilipoamua kuingiza swaggz [kumtongoza] na kumshauri aachane na yule bwana wake.

Na mpaka sasa anaishi/tunaishi kwa raha kabisa, sema kuna tatizo ambalo limejitokeza ni kwamba yule rafiki yangu sasa hatuongei nae, ndo nawaza je nivunje penzi langu na huyu demu ili nirudishe urafiki na jamaa yangu au niendeleze mapenzi na msichana urafiki wetu na jamaa ufe?

humpendi wewe! Kama kweli unampenda usingeomba ushauri,
Sijawahi kuona aliyependa kweli kashaurika
 
Kwanza wewe ujielewi pili huyo msichana nae ajielewi sidhani kama mtadumu subiria maumivu utakayo yapata coz hicho kibinti kinashawishika kirahisi hata me nakuja kukishawishi nikidonyoe afu nakipiga chini ili mradi kinipe tu natumia mbinu zako hizo hizo... najua me unijui sasa subiri mrejesho hapa hapa jamvini

ahahahaaa, haya bhana.
 
ukimfanyia mwenzio ubaya na wewe lazma ufanyiwe tu yaan umeshakula umetosheka ndo unakumbuka ujinga wako uliofanya!

wew sio rafik mwema ata kidogo nahis unaweza hata kuvunja ndoa ya rafk yako kwan pilpil usioila yakuwashia nn ilihali ukijua akiongezeka mwngine kati ya wapenz lazma yafe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom