Sumbalawinyo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,282
- 247
mlete kwanguapigwe rungu asiumwe tena na Malaria ya nyege
Wana JF nimeoa na nina mtoto mmoja ana miaka minne,nimemfunia mke wangu anafanya mambo na kijana fulani wa mtaani hapa hapa.Nimemrudisha kwao ila naona kama adhabu haitoshi kuna muda natamani kama nimkatekate vipande vidogo vidogo vya nyama au hata niende kwa mganga amfanye chizi.Bado wazazi wamekutana wanasema nimsamehe.Naomba busara zenu wanaJF ila pia nawapeni somo msiwaamin wanawake anaweza kukugeuka siku yoyote,mm mke wangu nimetoka nae shule ya msingi mpaka mwaka huu ni zaidi ya miaka 13
ila pia nawapeni somo msiwaamin wanawake anaweza kukugeuka siku yoyote,mm mke wangu nimetoka nae shule ya msingi mpaka mwaka huu ni zaidi ya miaka 13
Duh kijana wa mtaa alikuwa anakukuruka kwa kitumbua cha mkeo duh noomaa, JE walitumia kinga...?
Wana JF nimeoa na nina mtoto mmoja ana miaka minne,nimemfunia mke wangu anafanya mambo na kijana fulani wa mtaani hapa hapa.Nimemrudisha kwao ila naona kama adhabu haitoshi kuna muda natamani kama nimkatekate vipande vidogo vidogo vya nyama au hata niende kwa mganga amfanye chizi.Bado wazazi wamekutana wanasema nimsamehe.Naomba busara zenu wanaJF ila pia nawapeni somo msiwaamin wanawake anaweza kukugeuka siku yoyote,mm mke wangu nimetoka nae shule ya msingi mpaka mwaka huu ni zaidi ya miaka 13