Wana JF nimeoa na nina mtoto mmoja ana miaka minne, nimemfunia mke wangu anafanya mambo na kijana fulani wa mtaani hapa hapa.
Nimemrudisha kwao ila naona kama adhabu haitoshi kuna muda natamani kama nimkatekate vipande vidogo vidogo vya nyama au hata niende kwa mganga amfanye chizi.
Bado wazazi wamekutana wanasema nimsamehe.
Naomba busara zenu wanaJF ila pia nawapeni somo msiwaamini wanawake anaweza kukugeuka siku yoyote, mimi mke wangu nimetoka nae shule ya msingi mpaka mwaka huu ni zaidi ya miaka 13
Nimemrudisha kwao ila naona kama adhabu haitoshi kuna muda natamani kama nimkatekate vipande vidogo vidogo vya nyama au hata niende kwa mganga amfanye chizi.
Bado wazazi wamekutana wanasema nimsamehe.
Naomba busara zenu wanaJF ila pia nawapeni somo msiwaamini wanawake anaweza kukugeuka siku yoyote, mimi mke wangu nimetoka nae shule ya msingi mpaka mwaka huu ni zaidi ya miaka 13