Nimemfuma katuma picha kwa Co-worker mwenzie

what to do next

IFANYIE VIPIMO GEGEDO LAKE

PIMA UKUBWA ULIOKUWEPO TOA KWA ULE WA AWALI

kama jibu ni 0 mpe papuchi kama jibu ni_ negative basi guve him papuchi at ur own risk

We mwalimu bana ndo nn ivi kumpa mtihani mgumu sana mwanafunzi huyu wa mapenzi?
 
Hahahaha imebidi nicheke tu kwa jinsi unavyojipa maflag na kujipa moyo kuwa wewe ndio wa kwanza na wa mwisho kula papuchi kwa miaka tano yote" bila shaka ulimuumba wewe! Anyway wee fata kile roho yako inapenda!!
 
inaonekana huyo bidada anakamchezo hako tokea mda cha kutuma pics za jinsi hiyo, we msamehe tu na uendelee kumwekea mitego..angalizo..ukimchunguza bata haumli, cha msingi ni kusamehe na kusahau,kwani wewe umemfanyia mangapii?
 
Pole ameshapata dereva awezaye na sasa gari yake yaenda mbio,wewe kalagha baho
 
Mpaka picha ya nusu uchi mtu katumiwa bado unajipa moyo, safi sana kuna gospel moja inasema "jipe moyo jaribu kuisikiliza
 
what to do next

IFANYIE VIPIMO GEGEDO LAKE

PIMA UKUBWA ULIOKUWEPO TOA KWA ULE WA AWALI

kama jibu ni 0 mpe papuchi kama jibu ni_ negative basi guve him papuchi at ur own risk

shikamoo mwalimu wa physics
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…