Nimemfuma katuma picha kwa Co-worker mwenzie

inaonekana huyo bidada anakamchezo hako tokea mda cha kutuma pics za jinsi hiyo, we msamehe tu na uendelee kumwekea mitego..angalizo..ukimchunguza bata haumli, cha msingi ni kusamehe na kusahau,kwani wewe umemfanyia mangapii?
 
Pole ameshapata dereva awezaye na sasa gari yake yaenda mbio,wewe kalagha baho
 
Mpaka picha ya nusu uchi mtu katumiwa bado unajipa moyo, safi sana kuna gospel moja inasema "jipe moyo jaribu kuisikiliza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…