Nimemfukuza mke wangu sa 8 usiku

Nimemfukuza mke wangu sa 8 usiku

kwani we si ndo ulikuwa unamnyima ilikuwaje tena ukadai,we ulivokuwa unakimbilia bar?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Jiongeze mkuu,usiwe unafukuza tu angalia na tarehe zenyewe.
 
Safi Sana!
Kama Vp Vuta Kingine!!
 
You are sooo stupid wewe kijwana. Yaani unamufukuza mami sapu wako halafu unaanza kututangazia ili tuje tumhudumie siyo? Ninsingekuwa baba yako ningekutembelea ili nikupe kibano ujue kuwa siri za chumbani hazipaswi kutoka kufika hata sebuleni achia mbali JF
 
hongera sana kwa kudhihirisha upumbavu wako........

Na hili liwe somo kwa wanawake wote, kuna wanaume mnawaona kabisa ni watoto wamejaa ujinga mnakubali wawaoe matokeo ndo haya........

Na kwa mkewe mnyime akikufukuza ndo tiketi ya kurudi kwenu na kuanza upya.... Ndevu sio ukubwa jamani...urembo!
 
Toka juz namwomba chakula ya ndoa ananinyima kwa madai anaumwa,lakini kazi nyingine anafanya, nimeona ananifanyia kusudi.
Kuvuja kwa pakacha nafuu kwa mchukuzi, Mkumbavana, mkeo yuko getto kwangu, nilikutana naye njiani analia hajui kwa kwenda. Tatizo chumba changu ni kimoja tu, ikabidi tubanane hivyohivyo, mbaya zaidi umemtimua akiwa hajavaa kufuli, halafu down stairs alikuwa ana msitu mzito kuliko wa Mabwe Pande, nimevyeka msitu wote
 
Last edited by a moderator:
Toka juz namwomba chakula ya ndoa ananinyima kwa madai anaumwa,lakini kazi nyingine anafanya, nimeona ananifanyia kusudi.
Safi sana wewe. Yaonekana dhahiri hukuoa mke wa kufa na kuzikana ila ulinunua shama la kilimo kwanza. Kwa mwendo huo katu hutadumu kuishi na mwanamke mmoja, kwani kila utakayeishi naye lazima akubali kuwa shamba halali la jembe kulimwa kila mkulima mnunuzi wa shamba hilo atakapo, iwe katika uzima au ugonjwa, iwe akiwa tayari au la. Unadhani wanawake hawana hisia katika mapenzi? Ndo tatizo la madot com kufikiri kila kitu kwa kufananisha na internet. Labda kama unaleta story kufurahisha wasomaji, lakini umeboa sana. Mapenzi ni ya watu wawili, sio hati miliki ya mwanaume.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom