Nimemchukia mke wangu

Kwahiyo ulikutana na mtu kwenye simu, kisha mkaonana kama mara 3 tu ukawa umeshakolea na kujiridhisha kiasi cha kuoa??
 
1.wanaume mnapenda kuwa namwanamke aliyejificha tabia..yani kwenu ninyi mwanamke akishaonyesha tabia zake kabla ya ndoa mnampiga chini na kumuona hafai..kumbe ulikuwa una uwezo wa kuangalia mapungufu ya tabia kama yanatekebishika ukamwambia badilika moja mbili tatu na mambo yakaenda,so unaenda ishi na mtu angalau unamfahamu.utasikia nataka kuoa mwanamke mfia dinisasa hakuna wanawake wanamambo mengi kama hao(ingawa si wote)hao wakija kuufahamu ulimwengu wa nje ya kufia Dini umekwenda na maji sheikh.
Hakuna binadamu asiye na mapungufu katika hii dunia cha msingi ni kujua na namna ya kuishi na kuchukuliana.upendo na kusameheana vikitawala kati yenu.

2.hakuna haja ya kumchukia malaika wa Mungu(mtoto)bila sababu.kama una wasiwasi juu ya huyo mtoto nenda kimya kimya kacheki DNA ikijulikana si wako hakuna haja ya kuendelea na hiyo mwanamke maana huo uongo wa kukubambikia mtu mtoto umezidi levels zote.hauvumiliki.

3.hizo tabia za mkeo mpaka kufikia hapo..wewe mwanaume ndie uliyeruhusu huo ufala wote.mwanamke ni lazima aijue nafasi yake kama mwanamke sio akupande kichwani.halafu Huyo mwanamke inaonesha ana mwanaume mwingine Chief.
Kingine nyie wanaume pia jitahidini kuwa wabunifu na romantic kwa wake zenu.hata nyie huwa mnajisahau pia.mnaamini kuwa mwanamke ni kumhudumia tu na kumfanya fyoko fyoko kitandani

4.michepuko si suluhisho kabisa aiseh.tafuta muda wa kukaa peke yako sehemu iliyotulia(hapo usihusishe mchepuko kwenye safari yako)Hebu nenda kajitafakari kwa kina kama watoto wako ndio wanaokupa sababu ya kuishi na kufurahia maisha tafadhali tafadhali kuwa na muda nao.usiwapeleke boarding school ili upate muda sahihi wa kufurahi a nao.tafuta fuckmate ruhusu maisha yaendelee.ukiwa siriazi na mahusiano ya nje hakuna hatua kwenye maisha utapiga na hata hayo mahusiano ya nje yanamambo meusi mno..ukubali ukatae mwanaume hautakuwa peke yako kwenye maisha ya nje....

5.pole kwa changamoto unazopitia chief.aliyepewa kucha hana upele,mwenye upele hana kucha.mapenzi ya kindezi sana *****
Chief chukua bia 3 kwa mangi ntalipia za barid

Sent from my MRD-LX1F using JamiiForums mobile app
 
Haya maisha kuna vitu vinanichangaya kwa kweli,
Hivi kipi kilicho bora, uoe msichana ambaye mmezoeana au kufahamiana kwa mda mrefu au uoe ambaye mmefahamiana kwa mda mfupi?
 
Yaani umeshindwa kwenda love connect ukatafute huyo mke wa pili bila kuanza kumtafutia mke wako makosa?

Be a man and grow some balls.

Kangaroo wewe.
 
Huku mwisho ndio kungekuwa kwenhe kichwa cha habari, ungesema unatafuta mke dini muislam, awe mtanga n.k n.k

Pili chief, wabongo tunasema ulikosea kuoa.. Bonge moja la boko.
 
Imenilazimu kuandika kitu. Na ushauri wangu utakuwa mbaya. Na pia hautafanana na mtu yeyote humu.
Moja si vyema kumpiga mwanamke, na mwanamke hapigwi Ila kwa kesi yako hii si busara kutompiga mkeo, mtandike, akikupandishia nyodo mtandike na mtandike viboko Kama mtoto mpaka akalale be a man.
Kitandani usitembee na mwanamke bila kumwandaa. Ila hii ni kwa mwanamke mwenye akili timamu tu. Miezi Saba bila mapenzi na mnasema eti mko wapole? Huyu ni case ya nguvu na hakuna maandalizi Mara kadhaa kwenye ndoa kubakana ni kawaida. Mbake, piga Sana mzigo na mbake almost kila ukitaka mzigo. Acha kumwomba mzigo Anza tu kumsarua nguo akizingua be a man use force.
Mfanye yeye ndo awaze kutafuta ushauri na kuja mezani. Ili mtakapokaa mezani muongee.
Tatu, huyu si wa wewe kubeba mzigo wa familia Anza kumjulisha anatakiwa kuchangia mpaka Karo za watoto huko bording na gharama zingine za maisha. Ili atakapoenda kuomba msaada wa wale michepuko wake na wakamnyima itamkumbusha ulivyokuwa mzuri.
Ni lazima umkumbushe ni wakati gan alipoteza mwanaume mzuri ndani ya familia na kumpata monster. But usije kujaribu kumpiga mbele ya watoto.
Mwisho acha busara kwenye mapenzi Anza kuongea maneno machafu! Hata ukimtext mtext sms unamwitaji we tamka maneno mazima mazima na namna unavyomisi na jinsi.......
Kwa jinsi ulivyo huwezi kuwa na mke wa pili wewe watakuchomea ndani
Kifupi be tough!.
 
Habarini wanajamvi, kama tittle inavojieleza, sina amani ndani ya ndoa kwa muda mrefu sasa najikuta nina stress hadi afya imeanza kuzorota.

Nipo kwenye ndoa mwaka wa 10 sasa, nilifurahia mapenzi ya mke kwa miaka 2 tu ya kwanza ya ndoa. Wakati namwoa mke wangu alikuja na mtoto ambaye alidai ni wa kwangu nami nikampokea, ila kadri siku zinavyosonga namwona kabisa mtoto huyu sio damu yangu kwani hana anachofanania na mimi tofauti tu na tabia kachukua za kwangu , nisichokula naye hali, si kwa kuniiga bali vinakuja naturaly.

Kingine sina ile parental feeling na huyu mtoto, yaani naweza kumpenda mtoto wa ndugu yangu zaidi kuliko huyu mwanangu. Nimempeleka boarding school yaan hata sifikirii kana nina mtoto huko japo nawajibika kwa kila kitu. Amezaliwa mtoto wa 2 mwaka jana ni binti, huyu wala sina swali anafanana na mimi kama mayai, and ninampenda kiasi hata cha kutoa uhai wangu nikampa, huyu kuna muda nakaa nimemwangalia tuuu hata sijui naangalia kitu gani.

Kingine nilichoanza kupata machungu ni kunyimwa papuchi, hii ilianza mwaka wa 2 wa ndoa nikawa napangiwa weekend tu ndo napewa, ilileta ugomvi sana. Yeye akaenda chuo ambacho ni kama 50km toka tunapoishi kwa makubaliano kuwa kila weekend aje. Matokeo yake akawa anakuja kwa mwezi na baadae akawa anakuja wakifunga. Nikaona isiwe shida nikawa namfuata huko.

Baadae napo ikaonekana ruhusa za kutoka ni shida halafu anatoka na uniform kuingia guest ni tabu tu. Nikaacha kuwa nakwenda, rafiki yangu akanishauri nitafute mchepuko, nikafanya hivo hadi nikamsahau kabisa.

Nimeendelea hivyo kwa maumivu maana sikuzoea kuchepuka, baadae nikawa mzoefu nikaona ni haki yangu kuchepuka hata akinikamata nilikuwa namwambia unaweza kuondoka ama kutafuta mwanaume mwingine akuoe.

Shida nliyonayo sasa ni kuwa natumia hela nyingi sana kuchepuka karibu nusu ya mshahara wangu unaishia kwa wanawake. Sina mshahara mkubwa saaana, si wa chini pia. Huwa naangalia chain ya wanawake niliokwishatembea nao ni wengi kidogo toka nlipooa. Nikiri tu kabla ya kuoa sikuwahi kufanya ngono saaaana. Yeye ni kama alikuwa mwanamke wangu wa 3, hivo sikuwa na experience na wanawake. Hata kumwoa sikuchukua muda wa kumfahamu maana tulikuwa tunaishi mikoa tofauti so tulitongozana kwenye simu tu na tukafikia hatua ya kuoana tukiwa tumekutana mara 2 au 3 hivi. Kwa sasa nikihesabu nilokwisha date nao wanafikia hata 30.

Sasa hivi sina hisia naye hata kidogo toka alipobeba mimba alikataa kushiriki tendo la ndoa, na baada ya kujifungua sijamgusa wala kuomba papuchi na mtoto ana miezi 7nsasa.

Kuna kipindi nafikiria kuoa mke mdogo niwe nao wawili, wasiwasi wangu ni dini nitatengwa hadi na ndugu zangu( hili sio tatizo kubwa sana najua litaisha kadri mda unavyoenda), ila tatizo kubwa sijapata mwanamke sahihi wa kuanzisha naye familia kama mke mdogo. Kila ninaokuwa nao naona sio wife material. Natamani sana kuoa mtoto wa kiislam kutoka Tanga, Arusha, Zanzibar, au Kigoma awe kama mke mdogo.
Dogo , Tafuta Hela.....yote hayo SULUHU yake ni kuwa na HELA......
 
Imenilazimu kuandika kitu. Na ushauri wangu utakuwa mbaya. Na pia hautafanana na mtu yeyote humu.
Moja si vyema kumpiga mwanamke, na mwanamke hapigwi Ila kwa kesi yako hii si busara kutompiga mkeo, mtandike, akikupandishia nyodo mtandike na mtandike viboko Kama mtoto mpaka akalale be a man.
Kitandani usitembee na mwanamke bila kumwandaa. Ila hii ni kwa mwanamke mwenye akili timamu tu. Miezi Saba bila mapenzi na mnasema eti mko wapole? Huyu ni case ya nguvu na hakuna maandalizi Mara kadhaa kwenye ndoa kubakana ni kawaida. Mbake, piga Sana mzigo na mbake almost kila ukitaka mzigo. Acha kumwomba mzigo Anza tu kumsarua nguo akizingua be a man use force.
Mfanye yeye ndo awaze kutafuta ushauri na kuja mezani. Ili mtakapokaa mezani muongee.
Tatu, huyu si wa wewe kubeba mzigo wa familia Anza kumjulisha anatakiwa kuchangia mpaka Karo za watoto huko bording na gharama zingine za maisha. Ili atakapoenda kuomba msaada wa wale michepuko wake na wakamnyima itamkumbusha ulivyokuwa mzuri.
Ni lazima umkumbushe ni wakati gan alipoteza mwanaume mzuri ndani ya familia na kumpata monster. But usije kujaribu kumpiga mbele ya watoto.
Mwisho acha busara kwenye mapenzi Anza kuongea maneno machafu! Hata ukimtext mtext sms unamwitaji we tamka maneno mazima mazima na namna unavyomisi na jinsi.......
Kwa jinsi ulivyo huwezi kuwa na mke wa pili wewe watakuchomea ndani
Kifupi be tough!.
Ushauri wa Ki BOGUS.....badala ya kutumia nguvu kutafuta hela , unatumia nguvu kwa mwanamke? BOGUS......Tafuta Jeuri ya Pesa, OA mke mwingine weka ndani...ye atajua pa kwenda PAMBAF
 
Habarini wanajamvi, kama tittle inavojieleza, sina amani ndani ya ndoa kwa muda mrefu sasa najikuta nina stress hadi afya imeanza kuzorota.

Nipo kwenye ndoa mwaka wa 10 sasa, nilifurahia mapenzi ya mke kwa miaka 2 tu ya kwanza ya ndoa. Wakati namwoa mke wangu alikuja na mtoto ambaye alidai ni wa kwangu nami nikampokea, ila kadri siku zinavyosonga namwona kabisa mtoto huyu sio damu yangu kwani hana anachofanania na mimi tofauti tu na tabia kachukua za kwangu , nisichokula naye hali, si kwa kuniiga bali vinakuja naturaly.

Kingine sina ile parental feeling na huyu mtoto, yaani naweza kumpenda mtoto wa ndugu yangu zaidi kuliko huyu mwanangu. Nimempeleka boarding school yaan hata sifikirii kana nina mtoto huko japo nawajibika kwa kila kitu. Amezaliwa mtoto wa 2 mwaka jana ni binti, huyu wala sina swali anafanana na mimi kama mayai, and ninampenda kiasi hata cha kutoa uhai wangu nikampa, huyu kuna muda nakaa nimemwangalia tuuu hata sijui naangalia kitu gani.

Kingine nilichoanza kupata machungu ni kunyimwa papuchi, hii ilianza mwaka wa 2 wa ndoa nikawa napangiwa weekend tu ndo napewa, ilileta ugomvi sana. Yeye akaenda chuo ambacho ni kama 50km toka tunapoishi kwa makubaliano kuwa kila weekend aje. Matokeo yake akawa anakuja kwa mwezi na baadae akawa anakuja wakifunga. Nikaona isiwe shida nikawa namfuata huko.

Baadae napo ikaonekana ruhusa za kutoka ni shida halafu anatoka na uniform kuingia guest ni tabu tu. Nikaacha kuwa nakwenda, rafiki yangu akanishauri nitafute mchepuko, nikafanya hivo hadi nikamsahau kabisa.

Nimeendelea hivyo kwa maumivu maana sikuzoea kuchepuka, baadae nikawa mzoefu nikaona ni haki yangu kuchepuka hata akinikamata nilikuwa namwambia unaweza kuondoka ama kutafuta mwanaume mwingine akuoe.

Shida nliyonayo sasa ni kuwa natumia hela nyingi sana kuchepuka karibu nusu ya mshahara wangu unaishia kwa wanawake. Sina mshahara mkubwa saaana, si wa chini pia. Huwa naangalia chain ya wanawake niliokwishatembea nao ni wengi kidogo toka nlipooa. Nikiri tu kabla ya kuoa sikuwahi kufanya ngono saaaana. Yeye ni kama alikuwa mwanamke wangu wa 3, hivo sikuwa na experience na wanawake. Hata kumwoa sikuchukua muda wa kumfahamu maana tulikuwa tunaishi mikoa tofauti so tulitongozana kwenye simu tu na tukafikia hatua ya kuoana tukiwa tumekutana mara 2 au 3 hivi. Kwa sasa nikihesabu nilokwisha date nao wanafikia hata 30.

Sasa hivi sina hisia naye hata kidogo toka alipobeba mimba alikataa kushiriki tendo la ndoa, na baada ya kujifungua sijamgusa wala kuomba papuchi na mtoto ana miezi 7nsasa.

Kuna kipindi nafikiria kuoa mke mdogo niwe nao wawili, wasiwasi wangu ni dini nitatengwa hadi na ndugu zangu( hili sio tatizo kubwa sana najua litaisha kadri mda unavyoenda), ila tatizo kubwa sijapata mwanamke sahihi wa kuanzisha naye familia kama mke mdogo. Kila ninaokuwa nao naona sio wife material. Natamani sana kuoa mtoto wa kiislam kutoka Tanga, Arusha, Zanzibar, au Kigoma awe kama mke mdogo.
Umejieleza vzur Sana Hongera
Ili ushauriwe ni laZima huu uzi ubalance
Sasa kama ulivojieleza wewe hapa mlete na mkeo atoe Maelezo kama yako halafu solution ipatikane

NB: Umemkandia Sana mkeo, hivyo Maelezo yako ni Dhaifu unless ulete na Maelezo ya mkeo "Kwan mkeo anasemaje kuhisi hili???
 
Ushauri wa Ki BOGUS.....badala ya kutumia nguvu kutafuta hela , unatumia nguvu kwa mwanamke? BOGUS......Tafuta Jeuri ya Pesa, OA mke mwingine weka ndani...ye atajua pa kwenda PAMBAF
Wewe mwenye shida ya hela nenda katafute hela. Yeye anashida na mke wake sisi tunamshauri kulingana na shida aliyonayo. Ukiwa unashida na hela usifikiri sote tunashida na hela. We mpe ushauri wako unaomfaa niache me nimpe wangu naoona unamfaa. Kuoa mke wa pili si ufumbuzi Bali ni kuongeza tatizo
 
Mwanaume ndiyo nguzo katika familia, nyumba hujengwa na nguzo ila kama nguzo zikawa sio imara zikajengwa na ratio ndogo ya cement hapo hakuna nyumba, wewe ni mfano wa nguzo dhaifu, umeshindwa kuitetea familia yako umeishia kutembea na michepuko then unakuja unasema unampenda mkeo, umemtafutia visababu vingi sana ukasahau yako, mahusiano ni two way kama wewe tabia zako mbovu mkeo pia atakua na tabia mbovu tu, hujajijenga kikamilifu mwanaume ni sharti usimame na familia yako kile kiapo cha kanisani kuishi kwa raha na shida na mpaka kifo ni hukumu hiyo tayari umeshajifunga, kutafuta mke wapili unahisi umetatua tatizo, nyama ni hile hile bucha ni tofauti
ACHA UBOYA....NYIE NDIYO MNAKUFA NA MASTRESS KILA SIKU
 
Habarini wanajamvi, kama tittle inavojieleza, sina amani ndani ya ndoa kwa muda mrefu sasa najikuta nina stress hadi afya imeanza kuzorota.

Nipo kwenye ndoa mwaka wa 10 sasa, nilifurahia mapenzi ya mke kwa miaka 2 tu ya kwanza ya ndoa. Wakati namwoa mke wangu alikuja na mtoto ambaye alidai ni wa kwangu nami nikampokea, ila kadri siku zinavyosonga namwona kabisa mtoto huyu sio damu yangu kwani hana anachofanania na mimi tofauti tu na tabia kachukua za kwangu , nisichokula naye hali, si kwa kuniiga bali vinakuja naturaly.

Kingine sina ile parental feeling na huyu mtoto, yaani naweza kumpenda mtoto wa ndugu yangu zaidi kuliko huyu mwanangu. Nimempeleka boarding school yaan hata sifikirii kana nina mtoto huko japo nawajibika kwa kila kitu. Amezaliwa mtoto wa 2 mwaka jana ni binti, huyu wala sina swali anafanana na mimi kama mayai, and ninampenda kiasi hata cha kutoa uhai wangu nikampa, huyu kuna muda nakaa nimemwangalia tuuu hata sijui naangalia kitu gani.

Kingine nilichoanza kupata machungu ni kunyimwa papuchi, hii ilianza mwaka wa 2 wa ndoa nikawa napangiwa weekend tu ndo napewa, ilileta ugomvi sana. Yeye akaenda chuo ambacho ni kama 50km toka tunapoishi kwa makubaliano kuwa kila weekend aje. Matokeo yake akawa anakuja kwa mwezi na baadae akawa anakuja wakifunga. Nikaona isiwe shida nikawa namfuata huko.

Baadae napo ikaonekana ruhusa za kutoka ni shida halafu anatoka na uniform kuingia guest ni tabu tu. Nikaacha kuwa nakwenda, rafiki yangu akanishauri nitafute mchepuko, nikafanya hivo hadi nikamsahau kabisa.

Nimeendelea hivyo kwa maumivu maana sikuzoea kuchepuka, baadae nikawa mzoefu nikaona ni haki yangu kuchepuka hata akinikamata nilikuwa namwambia unaweza kuondoka ama kutafuta mwanaume mwingine akuoe.

Shida nliyonayo sasa ni kuwa natumia hela nyingi sana kuchepuka karibu nusu ya mshahara wangu unaishia kwa wanawake. Sina mshahara mkubwa saaana, si wa chini pia. Huwa naangalia chain ya wanawake niliokwishatembea nao ni wengi kidogo toka nlipooa. Nikiri tu kabla ya kuoa sikuwahi kufanya ngono saaaana. Yeye ni kama alikuwa mwanamke wangu wa 3, hivo sikuwa na experience na wanawake. Hata kumwoa sikuchukua muda wa kumfahamu maana tulikuwa tunaishi mikoa tofauti so tulitongozana kwenye simu tu na tukafikia hatua ya kuoana tukiwa tumekutana mara 2 au 3 hivi. Kwa sasa nikihesabu nilokwisha date nao wanafikia hata 30.

Sasa hivi sina hisia naye hata kidogo toka alipobeba mimba alikataa kushiriki tendo la ndoa, na baada ya kujifungua sijamgusa wala kuomba papuchi na mtoto ana miezi 7nsasa.

Kuna kipindi nafikiria kuoa mke mdogo niwe nao wawili, wasiwasi wangu ni dini nitatengwa hadi na ndugu zangu( hili sio tatizo kubwa sana najua litaisha kadri mda unavyoenda), ila tatizo kubwa sijapata mwanamke sahihi wa kuanzisha naye familia kama mke mdogo. Kila ninaokuwa nao naona sio wife material. Natamani sana kuoa mtoto wa kiislam kutoka Tanga, Arusha, Zanzibar, au Kigoma awe kama mke mdogo.
Nikionaga mambo kama haya hamu ya ndoa inaendelea kukaa benchi. ingawa naitaman dah dillema kama dillema
 
ACHA UBOYA....NYIE NDIYO MNAKUFA NA MASTRESS KILA SIKU
Acha ukenge, usitake tufanane kimitazamo na tambua makuzi yetu hayafanani lofa wewe, kama wazazi wako walikulea kiboya na kutokupa elimu dunia basi sio wote jitasmini sana, wewe unaogopa kufa na stress mjinga kweli wewe, kifo ni kifo tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom