Mgimilamaganga
JF-Expert Member
- Mar 31, 2019
- 266
- 257
Habari za muda huu wakuu,
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada.Nilikuwa nafanya kazi ya Security kwenye kampuni moja hapa jijini Dar Es Salaam.Sasa jana ndio nimefikia mwisho wa mkataba wangu wa mwaka mmoja,na kwa taarifa nilizopewa ni kuwa mkataba hautahuishwa kwani kampuni imepungukiwa na vituo vya kazi.
Naomba msaada wa kujua haki za mfanyakazi aliyemaliza mkataba wake tafadhali.
Asante.
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada.Nilikuwa nafanya kazi ya Security kwenye kampuni moja hapa jijini Dar Es Salaam.Sasa jana ndio nimefikia mwisho wa mkataba wangu wa mwaka mmoja,na kwa taarifa nilizopewa ni kuwa mkataba hautahuishwa kwani kampuni imepungukiwa na vituo vya kazi.
Naomba msaada wa kujua haki za mfanyakazi aliyemaliza mkataba wake tafadhali.
Asante.