Nimeletewa IPhone 13 Pro max na rafiki yangu

Wanajifunza kule, mijitu yenye roho mbaya inapatikana Africa hasa Tanzania.
Kabisa bob. Tanzania haiendelei sababu kuna watu umasikini upo kwenye damu unatembea mwili mzima. Jitu halitaki mwingine apate hata kama haita mgharimu chochote.

Me huwa nachukia sana hayo majitu nikikutana nayo.
 
Kabisa bob. Tanzania haiendelei sababu kuna watu umasikini upo kwenye damu unatembea mwili mzima. Jitu halitaki mwingine apate hata kama haita mgharimu chochote.

Me huwa nachukia sana hayo majitu nikikutana nayo.
Angalia mfano hiki nilichoandika tu hapa.

  • Kuna mtu hadi ananitukana eti me ni MJINGA.
  • Mwingine hilo li simu ni FEKI
  • Mwingine yangu ni ORIGINAL yako FEKI.
  • Mwingine wewe umeletewa zawaidi za KUTUPA.

Kuna shida kubwa sana miongoni mwetu watanzania,ila sawa ngoja tuone tutafika wapi.
 
Udanganyi.mara paap aliyekupa zawadi ndie mnunuzi
Hayupo kasafiri kurudi Marekani tangu tarehe 23 May, nilimsindikiza hadi airport akasafiri kwa FLY EMIRATES kurudi kazini kwake ni raia huko ana familia.
 
Mtu akakupa Zawadi kawe usiiuze au kumpa mtu mwingine. Kakuletea wewe na sio ajili ya kuuuza utajinyima vingi toka kwa watu ukiwa na tabia hiyo.
Weka hilo kichwani, Unless iwe ni njia ya Market umetumia ili kuwapata wakuja[emoji28]
So niitunze kama pambo mkuu?, marketing? naweza kufanyia marketing IPhone Pro Max? au inajifanyia marketing yenyewe? I'm smarter enough than any contemplation you can easily establish regarding this matter, all information provided are genuine.
 
Upo sahihi Mkuu, Ni kweli kabisa tunarogana sababu ya umasikini tu
 
iphone ina sura ndefu kama asha ngedere..
Nakuheshimu sana, sio wewe uliyetaka kutoa 800K, au ilimradi ukoment mkuu? sio IPHONE 13 PRO MAX NI COPY, pia ina sura ndefu tofauti na iPhone zingine, a case closed, satisfied?
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…