Tujikumbushe kidogo tuliolelewa na baba au babu walioishi zama za wakoloni
Binafsi nimezaliwa mkoa wa Mara wilaya ya bunda .
Maisha yangu yote nimekaa na babu na Bibi uko kijijini.
Babu yangu kwa Sasa ni marehemu toka 2001
Babu alikua mfanyakazi wa wakoloni enzi hizo kutokana na historia yake.
Babu yangu maisha ya nyumbali alikua anayaendesha kikoloni koloni .
Haya ni machache nayo yakumbuka
1: hutakiwa kufika nyumbani kabla ya saa 12 jioni
2: hakuna kuongea kipindi unakula
3: mwanamke anaepika chakula hatakiwi kuongea muda wote wa mapishi
4: ni marufuku kuvaa nguo bila kuchomekea hata Kama uko shambani
5: mkiwa shambani anarusha jiwe linapofikia ndiyo mwisho wako wa kulima
6: babu alikuwa na sero ukifanya kosa unatupwa sero siku nzima pamoja na vibiko juu
7: babu alikuwa na ng'ombe wanaporudi kutoka machungoni vijana wote tunakaa karibu na zizi kuhesabu ng'ombe hiyo ni kila siku
8: usipoenda kanisani hakuna kula
9: babu ndiye alikuwa anawatafutia vijana wake mke wa kuoa,endapo ukienda kumwambia nataka kuoa yeye anafunga safari kwenda kumfanyia tathmini huyo mke wako asipomkubali kwa tabia na kazi anakutafutia yeye
10: Ni marufuku mwanamke/ wanawake kula meza moja na mwanaume/ wanaume
11: Mbwa wake wasipokula wanawake wanapeana adhabu ya kubweka usiku kucha kwa kupangiwa masaa,nakumbuka tulikuwa na mbwa 12
Yapo mengi Ila kwa machache ndiyo hayo.
Namshukru babu yangu kutokana na Sheria zake zote lakini alituweka katika msingi mkubwa Sana wa kupambana na kusimamia familia vyema
Je, wewe unakumbuka Nini vijana wenzangu wa zamani
Binafsi nimezaliwa mkoa wa Mara wilaya ya bunda .
Maisha yangu yote nimekaa na babu na Bibi uko kijijini.
Babu yangu kwa Sasa ni marehemu toka 2001
Babu alikua mfanyakazi wa wakoloni enzi hizo kutokana na historia yake.
Babu yangu maisha ya nyumbali alikua anayaendesha kikoloni koloni .
Haya ni machache nayo yakumbuka
1: hutakiwa kufika nyumbani kabla ya saa 12 jioni
2: hakuna kuongea kipindi unakula
3: mwanamke anaepika chakula hatakiwi kuongea muda wote wa mapishi
4: ni marufuku kuvaa nguo bila kuchomekea hata Kama uko shambani
5: mkiwa shambani anarusha jiwe linapofikia ndiyo mwisho wako wa kulima
6: babu alikuwa na sero ukifanya kosa unatupwa sero siku nzima pamoja na vibiko juu
7: babu alikuwa na ng'ombe wanaporudi kutoka machungoni vijana wote tunakaa karibu na zizi kuhesabu ng'ombe hiyo ni kila siku
8: usipoenda kanisani hakuna kula
9: babu ndiye alikuwa anawatafutia vijana wake mke wa kuoa,endapo ukienda kumwambia nataka kuoa yeye anafunga safari kwenda kumfanyia tathmini huyo mke wako asipomkubali kwa tabia na kazi anakutafutia yeye
10: Ni marufuku mwanamke/ wanawake kula meza moja na mwanaume/ wanaume
11: Mbwa wake wasipokula wanawake wanapeana adhabu ya kubweka usiku kucha kwa kupangiwa masaa,nakumbuka tulikuwa na mbwa 12
Yapo mengi Ila kwa machache ndiyo hayo.
Namshukru babu yangu kutokana na Sheria zake zote lakini alituweka katika msingi mkubwa Sana wa kupambana na kusimamia familia vyema
Je, wewe unakumbuka Nini vijana wenzangu wa zamani