Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 53,159
- 72,199
KUMBE UNA BEBE MWINGINEBabe vinahusiana nini?
KUMBE UNA BEBE MWINGINEBabe vinahusiana nini?
UNAONAJE UKIMFATA ANAPOKAAHabari wanajamvi.
Ndugu zanguni mwenzenu nimekwama kimbinu.
Kuna dada nilimtongoza mwaka mmoja ulopita akakubali na akaja getto nikamuomba gemu akakataa nikamuacha aende zake.
Baada ya wiki moja nikasafiri kikazi nje ya mkoa wangu(toka kanda ya ziwa hadi kusini mwa tanzania) tuliendelea na mawasiliano japo sio ya kila siku nilikuwa simtafuti maranyingi kwa kuwa bize mda mwingi afu huko nilipata mchepuko wa kimakonde ukanichanganya ukawa unanipa mauno kama feni bovu,msukuma mimi nikachanganyikiwa nikawa namtafuta yule binti wa nyumban mara moja kwa wiki.
Sasa miezi kama 9 imepita na sasa nimerudi kweny mkoa wangu,, nimezidisha mawasiliano nae huku nikimtaka aje getto lakini anasema hana mda akipata atakuja lakn ni wiki ya tatu hii kila siku story ileile eti hana mda akipata atakuja,, afu ananiuliza kwann nilivokuwa kule mawasiliano yalififia saiv nimezidisha???
Nimejaribu hata kumwambia kuwa nimemletea zawadi lakin haji tu(ni kweli zawadi nmemletea chupi na taiti)
Sasa ndugu zangu nimekwama namna ya kumshawishi naomba mnieleze namna gani nimshawishi ili aje geto nimchakate
NB: tangu nije sijaonana nae na si mbali sana na anakokaa takribani kilometa 6 tu.
Sasa ilo jina la sukari ya warembo ulilitoa wapi?Habari wanajamvi.
Ndugu zanguni mwenzenu nimekwama kimbinu.
Kuna dada nilimtongoza mwaka mmoja ulopita akakubali na akaja getto nikamuomba gemu akakataa nikamuacha aende zake.
Baada ya wiki moja nikasafiri kikazi nje ya mkoa wangu(toka kanda ya ziwa hadi kusini mwa tanzania) tuliendelea na mawasiliano japo sio ya kila siku nilikuwa simtafuti maranyingi kwa kuwa bize mda mwingi afu huko nilipata mchepuko wa kimakonde ukanichanganya ukawa unanipa mauno kama feni bovu,msukuma mimi nikachanganyikiwa nikawa namtafuta yule binti wa nyumban mara moja kwa wiki.
Sasa miezi kama 9 imepita na sasa nimerudi kweny mkoa wangu,, nimezidisha mawasiliano nae huku nikimtaka aje getto lakini anasema hana mda akipata atakuja lakn ni wiki ya tatu hii kila siku story ileile eti hana mda akipata atakuja,, afu ananiuliza kwann nilivokuwa kule mawasiliano yalififia saiv nimezidisha???
Nimejaribu hata kumwambia kuwa nimemletea zawadi lakin haji tu(ni kweli zawadi nmemletea chupi na taiti)
Sasa ndugu zangu nimekwama namna ya kumshawishi naomba mnieleze namna gani nimshawishi ili aje geto nimchakate
NB: tangu nije sijaonana nae na si mbali sana na anakokaa takribani kilometa 6 tu.
Yupi huyoKUMBE UNA BEBE MWINGINE
si huyo uliyemnukuu hapo juuYupi huyo
Hapana babe utakuwa umeona vibayasi huyo uliyemnukuu hapo juu
Over sizeKwa tabia yake aliyoionyesha avae tuu mwenyewe hamna namna



Ndio namim najiuliza sukari gani hii inalia lia kupata warembo bora ajiite shombo ya waremboSasa ilo jina la sukari ya warembo ulilitoa wapi?
Akimfata na ndinga lazima amtindue...Sidhani kama km 6 ni umbali wa mtu kokosa mda wa kuja, kama hana amfate na gari naamini hatakataa.
Duh!! We ni hatariii nitaona ndani kweliii kwahali hiyoKwanza mwanaume anayeita kwake gheto duuh.
Mtu anitumie msg eti "baby njoo basi geto" naweza nikamnyonga.
Yuda Eskarioti at work🤣🤣🤣Hapana babe utakuwa umeona vibaya
hio uhakika😂Akimfata na ndinga lazima amtindue...
Gari kwa mwanamke ni kama hirizi hivi..hio uhakika😂
Haruki kwa hilo🤣🤣🤣Gari kwa mwanamke ni kama hirizi hivi..
Cute b mama karibu PM kwangu tuongeeNdiyo hata kama ni chumba kimoja cha msingi panamsitiri. Anatakiwa apatambue kama nyumbani kwake na siyo gheto.
"Khantwe njoo basi gheto unipikie na kufua" . hauoni kama imekaa kidharau dharau?
"Khantwe njoo basi nyumbani mama upike unisaidie kufua" ooh hii nzuri.

Asante kwa mwaliko.Cute b mama karibu PM kwangu tuongee![]()
HahahahahaSiwez nikamuacha maana sijamchakata labda hadi nnchakate, afu demu mzuri, mweupe peee!! ,,jicho kama anasinzia,, jino jeupeee,,, chuchu sa sita,, japo hana tako.
Mimi huyu bebe au unamzungumzia naniYuda Eskarioti at work![]()