Yaani ni tatizo siyo kwenye lugha tuu hadi kwenye kumjali mwanamke.eti njoo unipikie na kufua, unamaanisha wanaopaita nyumbani 'gheto' hata matumizi mengine ya lugha ni tatizo
Akipaita kwake gheto ujue mpenzi wake lazima aitwe "demu" au "manzi"
Yaani ni tatizo siyo kwenye lugha tuu hadi kwenye kumjali mwanamke.eti njoo unipikie na kufua, unamaanisha wanaopaita nyumbani 'gheto' hata matumizi mengine ya lugha ni tatizo
Kwahiyo maana ya gheto ni nyumba ya kupanga?Unataka asemaje kama bado kapanga.????
Na kupanga haimaanishi huna nyumba inawezekana upo eneo hilo kwa mda flan tu.
Kama kuna sababu ya kuja nitakuja.Kwahyo nyumbani ungekubali kuja?
Hahahaha, upo chief!Gari unalo?
Sababu ni kama ya mtoa mada kungonokaKama kuna sababu ya kuja nitakuja.
Machinjioni hoyeee...!Ina maana wewe kuonana na mpenzi wako ni lazima iwe gheto? Yaani siku zote haujaonana nae kisa hataki kuja gheto?
Huyo Dada ana akili sana na ninampongeza.

Inategemea na mazingira.Sababu ni kama ya mtoa mada kungonoka
Acha wivu wa kike!NAENDELEA KUOMBA ASIFIKE KABISA🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Siwez nikamuacha maana sijamchakata labda hadi nnchakate, afu demu mzuri, mweupe peee!! ,,jicho kama anasinzia,, jino jeupeee,,, chuchu sa sita,, japo hana tako.
Zawadi za mtoa mada upendiInategemea na mazingira.
Kwa mazingira kama ya mtoa mada siwezi kwenda.
usijesema avae mwenyeweKwa tabia yake aliyoionyesha avae tuu mwenyewe hamna namnaZawadi za mtoa mada upendiusijesema avae mwenyewe
Mtumie uchaw wa kizungu fanya kama hujui vile akiona 200K majibu utayapata baada ya dk2 tuHabari wanajamvi.
Ndugu zanguni mwenzenu nimekwama kimbinu.
Kuna dada nilimtongoza mwaka mmoja ulopita akakubali na akaja getto nikamuomba gemu akakataa nikamuacha aende zake.
Baada ya wiki moja nikasafiri kikazi nje ya mkoa wangu(toka kanda ya ziwa hadi kusini mwa tanzania) tuliendelea na mawasiliano japo sio ya kila siku nilikuwa simtafuti maranyingi kwa kuwa bize mda mwingi afu huko nilipata mchepuko wa kimakonde ukanichanganya ukawa unanipa mauno kama feni bovu,msukuma mimi nikachanganyikiwa nikawa namtafuta yule binti wa nyumban mara moja kwa wiki.
Sasa miezi kama 9 imepita na sasa nimerudi kweny mkoa wangu,, nimezidisha mawasiliano nae huku nikimtaka aje getto lakini anasema hana mda akipata atakuja lakn ni wiki ya tatu hii kila siku story ileile eti hana mda akipata atakuja,, afu ananiuliza kwann nilivokuwa kule mawasiliano yalififia saiv nimezidisha???
Nimejaribu hata kumwambia kuwa nimemletea zawadi lakin haji tu(ni kweli zawadi nmemletea chupi na taiti)
Sasa ndugu zangu nimekwama namna ya kumshawishi naomba mnieleze namna gani nimshawishi ili aje geto nimchakate
NB: tangu nije sijaonana nae na si mbali sana na anakokaa takribani kilometa 6 tu.
Hahhha jaman mbona hata Akon aliimba gheto... Mabaharia wamezoea magheto...
Mueleweshe mkuu. Nahisi hajui wadada mnavyo feel mkiitwaga geto. Ushauri wangu mwambie ajiongeze mana mi naona aibu kumwambia Msukuma mwenzangu.Ina maana wewe kuonana na mpenzi wako ni lazima iwe gheto? Yaani siku zote haujaonana nae kisa hataki kuja gheto?
Huyo Dada ana akili sana na ninampongeza.
Kama huhongi utaendelea kula kalenda mpk akili ikukae sawaHuwa sihongi hela kubwa ivo man. Ila akija afu nimchakate hatakuja kuniacha ataluwa ananililia kila siku.
Acha wivu wa kike!NAENDELEA KUOMBA ASIFIKE KABISA🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿