NIMEKWAMA.

NIMEKWAMA.

Acha uzinzi kamanda tafuta mke uoe
Habari wanajamvi.

Ndugu zanguni mwenzenu nimekwama kimbinu.
Kuna dada nilimtongoza mwaka mmoja ulopita akakubali na akaja getto nikamuomba gemu akakataa nikamuacha aende zake.

Baada ya wiki moja nikasafiri kikazi nje ya mkoa wangu(toka kanda ya ziwa hadi kusini mwa tanzania) tuliendelea na mawasiliano japo sio ya kila siku nilikuwa simtafuti maranyingi kwa kuwa bize mda mwingi afu huko nilipata mchepuko wa kimakonde ukanichanganya ukawa unanipa mauno kama feni bovu,msukuma mimi nikachanganyikiwa nikawa namtafuta yule binti wa nyumban mara moja kwa wiki.

Sasa miezi kama 9 imepita na sasa nimerudi kweny mkoa wangu,, nimezidisha mawasiliano nae huku nikimtaka aje getto lakini anasema hana mda akipata atakuja lakn ni wiki ya tatu hii kila siku story ileile eti hana mda akipata atakuja,, afu ananiuliza kwann nilivokuwa kule mawasiliano yalififia saiv nimezidisha???

Nimejaribu hata kumwambia kuwa nimemletea zawadi lakin haji tu(ni kweli zawadi nmemletea chupi na taiti)

Sasa ndugu zangu nimekwama namna ya kumshawishi naomba mnieleze namna gani nimshawishi ili aje geto nimchakate

NB: tangu nije sijaonana nae na si mbali sana na anakokaa takribani kilometa 6 tu.
 
Huko ghetto ni kama anakuletea shingo chinja hapa, common sense bro!
 
we mwanamke ni mtata sana. Sasa kama amepanga chumba kimoja uani bado anatakiwa kusema nyumbani kwangu?
Ndiyo hata kama ni chumba kimoja cha msingi panamsitiri. Anatakiwa apatambue kama nyumbani kwake na siyo gheto.

"Khantwe njoo basi gheto unipikie na kufua" . hauoni kama imekaa kidharau dharau?

"Khantwe njoo basi nyumbani mama upike unisaidie kufua" ooh hii nzuri.
 
Heshimu nyumbani kwako. Paite nyumbani na siyo gheto.
My take ni kuwa the so called mabaharia hawayatumii hayo maneno... Utasikia demu wangu, gheto langu etc etc... Na ni wabishi kweli kweli kwenye hili.
 
Ndiyo hata kama ni chumba kimoja cha msingi panamsitiri. Anatakiwa apatambue kama nyumbani kwake na siyo gheto.

"Khantwe njoo basi gheto unipikie na kufua" . hauoni kama imekaa kidharau dharau?

"Khantwe njoo basi nyumbani mama upike unisaidie kufua" ooh hii nzuri.
eti njoo unipikie na kufua, unamaanisha wanaopaita nyumbani 'gheto' hata matumizi mengine ya lugha ni tatizo
 
Kwanza mwanaume anayeita kwake gheto duuh.
Mtu anitumie msg eti "baby njoo basi geto" naweza nikamnyonga.
Unataka asemaje kama bado kapanga.????
Na kupanga haimaanishi huna nyumba inawezekana upo eneo hilo kwa mda flan tu.
 
I see ningetangulia kusoma I'd yako katu nisingethubutu kupoteza muda wangu kutoa maoni yangu. sukariyawarembo. Kumbe unatusanifu tu..! Ng'ombe we
Tatizo huyo hajanionja ndo maana ananyodo.
Akishanilamba hawez kuniacha,, hata ww tukionjana huwezi niacha,,

Mi ni sukari haswaaa!!!
 
Ndiyo hata kama ni chumba kimoja cha msingi panamsitiri. Anatakiwa apatambue kama nyumbani kwake na siyo gheto.

"Khantwe njoo basi gheto unipikie na kufua" . hauoni kama imekaa kidharau dharau?

"Khantwe njoo basi nyumbani mama upike unisaidie kufua" ooh hii nzuri.
Kwahyo nyumbani ungekubali kuja?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom