Mento wa Magogoni
Member
- Nov 13, 2011
- 36
- 10
Habari wandugu,
Mimi ni kijana mjasiria mali hapa jijini dar,kama kawaida ya wajasiria mali tunakuza mitaji kwa njia ya mikopo mbalimbali kkama nilivyojaribu kufanya mimi.
Kwa bahati mbaya sikufanikiwa kufikia lengo langu hivyo nimebaki na deni ktk taasis moja ya fedha.
Kwa kua kimfaacho mtu chake,nimeamua kwa ridhaa yangu mwenyewe kuuza nyumba yangu iliyopo chanika mwisho nyuma ya kituo cha msumbiji,
nyumba ina vyumba vinne,kimoja ni masterbed room,sebule choo na bafu vyote ndani.
Nyumba haijaisha imefikia hatua ya kupau,usafiri wa njia ya gari mpaka mlangoni.
Uhalali wa nyumba upo na nitakudhibitishia kokote utakapo taka kujiridhisha wewe.
Kwa anyehitaji piga sim no 0713 72 42 42
Mimi ni kijana mjasiria mali hapa jijini dar,kama kawaida ya wajasiria mali tunakuza mitaji kwa njia ya mikopo mbalimbali kkama nilivyojaribu kufanya mimi.
Kwa bahati mbaya sikufanikiwa kufikia lengo langu hivyo nimebaki na deni ktk taasis moja ya fedha.
Kwa kua kimfaacho mtu chake,nimeamua kwa ridhaa yangu mwenyewe kuuza nyumba yangu iliyopo chanika mwisho nyuma ya kituo cha msumbiji,
nyumba ina vyumba vinne,kimoja ni masterbed room,sebule choo na bafu vyote ndani.
Nyumba haijaisha imefikia hatua ya kupau,usafiri wa njia ya gari mpaka mlangoni.
Uhalali wa nyumba upo na nitakudhibitishia kokote utakapo taka kujiridhisha wewe.
Kwa anyehitaji piga sim no 0713 72 42 42