Nimekuwa mtumwa wa wanawake

Nimekuwa mtumwa wa wanawake

Hakika huyu mwanamke niliyenae ni mvumilivu haswa na akinibamba anaishia kulia na yanakwisha. Sipendi kufanya hivi na nahitaji ushauri
Basi badilika mkuu, usije mfanya akajutia kukutana nawe katika maisha yake.... Mpende sana mke wako mpe penzi analo stahili rudi kundini.........hakuna dhambi isiyo na msamaha, dhambi zote kubwa na ndogo zina msamaha....
 
Unakumbuka kinga lakini mkuu? Maana kwa orodha uliyoitaja kama ni kweli hii stori yako nahautumii kinga ujue unaishi kwa Neema ya Mungu tu.
Hivyo kama umeamua kuacha acha,maana ukiendelea watoto wako wataishia kua yatima muda si mrefu kwa tamaa zako.
Kinga natumia na kwa kuwa najikuta najutia basi mara nyingi napima na kujikuta nipo sawa, na hata baadhi ya wanawake huweka vizingiti kuwa tukapime kwanza na kudai hawapendi harufu ya condom
 
Umetisha
Usijifunze kwa walioshindwa maana hata hapo ulipo wapo walioshindwa kufika.
Ichi kineno chako kimenifanya nikitafakari lkn nimeshindwa kuelewa,ni kineno kidogo sana lkn ukisoma kwa makini utagundua ni neno lenye maana kubwa saaaaaana na hakuna mtu wakuweza kufikiri akapata muongozo wake leo ama kesho,,
Chukua hatua haraka sababu kama umeweza kutuomba msaada wa mawazo tayari unajitambua,mtafute mshauri wa mambo ya kisaikolojia atakusaidia.
Kumbuka umalaya hauna tuzo zaidi ya kiinua mgongo cha ukimwi au malipo ya overtime ya kaswende na visonono.
 
Chukua hatua haraka sababu kama umeweza kutuomba msaada wa mawazo tayari unajitambua,mtafute mshauri wa mambo ya kisaikolojia atakusaidia.
Kumbuka umalaya hauna tuzo zaidi ya kiinua mgongo cha ukimwi au malipo ya overtime ya kaswende na visonono.
Umetisha
 
duu kijana una raha

Kumbe hata mademu wako wa humu JF wanakushauri.

kuna mwingine ametoa ushauri mzuri sana masikini amesahau kma ulimpitia.

Andamaneni amekuja mwenyewe
 
duu kijana una raha

Kumbe hata mademu wako wa humu JF wanakushauri.

kuna mwingine ametoa ushauri mzuri sana masikini amesahau kma ulimpitia.

Andamaneni amekuja mwenyewe
Jf sio kambini mkuu, wapo huku huku mitaani
 
Mmmh humu jamii forum umetembea na nani kama sio kutaka kiki tu eti badoo,facebook,jamii forum.....hii stori nahisi imeongezewa chumvi kidogo
 
Endelea tu, kipo kitu kitatokea na utaacha mwenyewe bila kuomba ushauri wala kushauriwa!
 
usiache kutumia kinga, kwa haraka haraka unakula ujana, but jitahidi kutumia kinga...
Una umri gani mkuu?
 
Back
Top Bottom