Nimekuwa mtumwa wa wanawake

Nimekuwa mtumwa wa wanawake

pia wasichana
wa mtandaoni kama
vile Jf, Badoo, Fb nk

...hadi jf? we ni mtata kuliko Besigye!
 
Kwa kweli nimefurahi sana kusikia matatizo uliyonayo kwani hata mie nina tatizo hilo hilo.
Ki umri nina miaka 56 nina watoto na wajukuu, tatizo langu pia ni kuwa kila mara nimekuwa nikiwazia wanawake tu, kiukweli nawatamani sana hasa wanawake wenye matako makubwa na walio weupe.
Niko radhi kumfuatilia hadi nimpate, bahati nzuli ni wanawake wachache sana huwa wananikataa.
Ndugu zangu nami naomba mnisaidie mawazo nifanyeje ili niachane na kuwatamani wanawake maana umri umeisha kwenda lakini pepo wa kina mama haunitoki!!!
Kwanza umekiri mwenyewe kuwa unatatizo. Kiri kuacha. Jitihada unazotumia katka kuwapata ndo zitumie kwa kuacha.
 
Ndugu sijui wewe dini gani, pia Mimi sio Mchungaji. Ila kuna hili jina huwa wanalitaja wanasema YESU.

Hili jina ukiliita na kusema YESU NISAIDIE NIACHE HIKI KITU nauhakika utaacha. Baada ya hapo chukua initiative za kuwatafta viongozi wa makanisa ya kilokole kwa mfano TAG, EAGT, CAG, PAG hayo hayana longo longo. Usiende yale ya miujiza unless Mungu akuongoze uingie huko kuomba msaada.

Ukitaka kuacha Fanya hili Mkuu.

Aisee!watu wanashauri jamaa awaone wanasaikolojia wewe unasema atamke sijui YESU?.Uko serious kweli ndugu?Kwa nini mnazifumba akili zenu namna hii?.Unaweza kutuambia lini unepata shida ukatamka yesu halafu ukapata msaada wowote?Come out of the box binadam wa karne hii msomi ameshaachana na hadithi hizo za kufikirika

........Free Ideas...
 
Ndugu sijui wewe dini gani, pia Mimi sio Mchungaji. Ila kuna hili jina huwa wanalitaja wanasema YESU.

Hili jina ukiliita na kusema YESU NISAIDIE NIACHE HIKI KITU nauhakika utaacha. Baada ya hapo chukua initiative za kuwatafta viongozi wa makanisa ya kilokole kwa mfano TAG, EAGT, CAG, PAG hayo hayana longo longo. Usiende yale ya miujiza unless Mungu akuongoze uingie huko kuomba msaada.

Ukitaka kuacha Fanya hili Mkuu.

Naongezea hapo mkuu...


Kuna Mambo Hapa Duniani ni ngumu kuyaacha bila kumshirikisha Mungu..
Kama hilo lako mkuu..

Swali la kizushi,, wewe ni dini gani?
Je unaendaga kanisani au msikitini...?

Huwezi kuacha bila kumshirikisha mungu, onana na viongozi wa dini... Watakusaidia...
 
Mrudie mungu!!! Kila mtu ana addiction yake,pole mkuu na mimi kuna kitu nimekuwa addicted nacho nashndwa kuacha though kinanitesa,ila kikubwa ni tusiendekeze starehe za muda mfupi, miili yetu ndo sehemu pekee tunamoishi,kwa hyo tusiitese kwa madawa ya kulevya,pombe,sigara na ngono n.k.by the way majuto ni mjukuu.

Ushauri wa jumla:baadhi ya vitu vina addiction so its better not to try them.
Akhsante mkuu, nitafuata ushauri wako
 
Pole sana jamaa teh teh, imebidi nicheke tu maana umenikumbusha mkasa mmoja.

Ngoja nikusimulie mkasa huo inawezekana itakusaidia.

Wakati nasoma Advance nilikuwa nakaa kwa kaka yangu, sasa bro alikuwa na chumba kimoja kapanga halafu kaoa, ikabidi niwe nalala kwa jilani

Huyo jilani alikuwa hajaoa, na Bahati nzuri alikuwa na chumba na sebule. So tukawa tunalala sebuleni na Mdogo wake.

Huyu jamaa alikuwa na Tabia mbaya sana kama yako hii, ilifikia hatua akawa anatembea na wanawake zaidi ya watatu kwa siku (huwa nashangaa hadi sasa nguvu alizonazo huyu mtu)

Kilichotokea, usiku akileta demu hatulali, maana hajali anafanya tu hata wadogo zake tukiwa haujalala, ikabidi tuwe tunapiga chabo na Mdogo wake, tayari akawa ametuaffect kwa kiasi kikubwa hasa Mdogo wake maana alikuwa ni primary kipindi hicho.

Jamaa alikuwa hachagui, analeta mimama, visichana, wake za watu, mabibi, mpaka wengine hawaeleweke, yaani tulijionea aina na aina na Bahati mbaya jamaa alikuwa hazimagi taa chumbani kwake.

Nije kwenye point, siku moja mama yake mzazi alikuja kumtembelea, Bahati mbaya sana huyo mama naye alikuwa mcharuko, alikuwa na kijana ambaye alidai mpenz wake, lkn kijana mwenyew alikuwa ni Mdogo kuzidi mtoto wake, huyo mama ilibidi akae chumbani na huyo the so called mpenz wake, sasa mtoto wake naye akaja na mama dizaini ya mama yake, inabidi ulale sebuleni na sisi tukalala kwenye makochi, you know what happened , huku mama analia jamaa anakula mzigo, hapa napo mtoto analiza... Hapakulalika siku hiyo as if walikuwa wanaambiana tuanze, itbwas horrible.

Asubuhi kulipokucha aibu zimewajaa, hawajui wafanye nin, MTU na mtoto wake.

Point yangu ya msingi ni kwamba mwisho wa haya mambo ni aibu, kama hutachukua hatua sasa utakuja kuaibika, either kwa magonjwa ya zinaa ama aibu kama hizi.

Hadi sasa ninavyokueleza jamaa alihama getting kwake na mama naye hakuonekana kwa aibu ile. Mdogo wake jamaa akaoa akiwa darasa LA saba kwa kuwa affected na vitendo vya kaka ake.

Ni tatizo kubwa sana ulilonalo asee litakuletea aibu, wake up uko kwenye danger zone.

Hata kama story hii umetunga lakini kuna watu wa type hii ambayo mm nimewashuhudia
Ilifikia kipindi jamaa wakataka wamchome moto kwa kuwa alikwisha tembea na wamama wote walikuwa wamepanga karibu yake mpaka Shemeji yangu mke wa bro alimpitia. Ni kama alikuwa anatumia Dawa, kazi yake yenyewe ilikuwa uDJ tu. Stop it from the moment unaisoma comment hii.
Akhsante kwa ushauri, huu ni mkasa unaonisibu hata sasa
 
Unapokuwa na MKE mtulivu hana habari na wanaume wengine bali NI wewe TU na anakupenda kwa DHATI awe MZURI au MBAYA hastahili kuonewa , kunyanyaswa , kumdhihaki , kufedhehesha nafsi yake au kumdanganya na kuchezea HISIA zake jiandae kuja jutia maisha yako na tayari nafsi yako imeanza kukusumbua, sasa kama umalaya unaoufanya unaweza kuacha basi acha mara moja kwa kuwa naona anguko kubwa sana mbele yako kama utapuuzia, na machozi ya mwanamke yakidondoka jiandae kwa mikosi na nuksi.. Tubu na badilika mkuu na kubadilika inahitaji dhamira ya kweli kutoka nafsini its not too late, hakuna jambo lisilo na jawabu..........
Hakika huyu mwanamke niliyenae ni mvumilivu haswa na akinibamba anaishia kulia na yanakwisha. Sipendi kufanya hivi na nahitaji ushauri
 
Hii swala la umasikini huko nyuma tutokako huja na nguvu kubwa sana mbeleni......
Unaweza jikuta unakuwa mtu wa kugonga mademu hasa wale waliokutosa enzi hizo....
Kugonga wale waliokuwa wanaonekana classic kwako....
Kuwa mchoyo wa kutoa vitu kwa jamii hasa msaada wa hela....kwan unawaza mbona ww ulikuwa na shida hukusaidiwa.......
Nawaza tu kwa sauti.....wale wa masaki mtupe xperience yenu after kuanza maisha huwa inakuaje kwenu by basing jwa hivyo vipengele
Ushauri wako ni nini mkuu?
 
Sawa mkuu, wife nikimshirikisha hataniona muhuni kweli?


Ndio maana nilitangulia kusema kama "inawezekana". Lakini pia nilikukumbusha kuwa inategemea mke wako ni open minded kwa kiasi gani. Nimezingatia pia kuwa hili tatizo ulikuwa nalo hata kabla ya kumuoa. Utamueleza kuwa huko nyuma ulidhani labda ulishindwa kuachana na hiyo tabia kwasababu ulifikiri ni kwasababu hukuwa na mpenzi wa ndoto zako na kwamba baada ya kumpata yeye ambaye ni sahihi kabisa kwako ulijua ushapata dawa. Wewe ndio unayemjua vizuri mke wako.

Ushauri mwingine ni kwamba, nenda kawaone watu wa saikolojia ukapate ushauri nasaha. Kama utaweza kumueleza mkeo basi itafaa sana mngeenda wote maana atapewa pia mbinu za kukusaidia kuondokana na hiyo hali. Huo ni ugonjwa mkuu!!
 
Mwamini Yesu uokoke. Nenda kwenye makanisa ya kipentecoste uombewe utabadilika kabisa nakuhakikishia
Akhsante mkuu kwa ushauri, je nikifika nijieleze au nipige ibada tu
 
Ukifika mtafute Mchungaji au kiongozi yoyote wa kanisa, ujieleze. Watakusaidia for sure
 
Back
Top Bottom