Kama nakuona huko gym unavyoshika Kila Chuma kwa hasira 😂😂😂😂😂that is the way it is budd,things will get hard till become easy you can't avoid love or relationship
Find another girl build a relation start living hivyo unavyokuwa desperate na kupiga machuma ndio unampa ushindi huyo aliyeondoka siku hizi tukiona ex anateseka tunaongeza wine
Daah kaka ...nimejifunza mengi sana kuhusu ilo jambo ni kwamba mwanaume ukijipenda mwenyewe kwanza basi jamii nzima haswaa wanawake huanza kukupenda ....keep it up bro
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.