Nikilewa mniache
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 19,294
- 51,915
Mboha
Hongera tunataka watu kama wewe sio watoa mimbaHamjambo?
Kiukweli sina hata la kusema ndugu zangu..ila mungu awabariki mama zetu aisee dah am speechless kwakweli
Nashukuru Allah nilijifungua salama usiku wa kuamkia ijumaa na sasa nimekuwa mama!
Ni hayo tu
View attachment 3295688
Wengi kama uyogaAsante..kumbe kuna watu bado wanatoa mimba?!!
😂😂😂Nakupigiaaa nakupigiaaa maliza kwanza kunyonyesha hapoAsante nilikupigia akapokea mtoto nipigie tena..
Kwani kuna ubaya gani jamani mbona watu mnachukulia mambo siriaz sana......Hivi kuna watu mitandao ya kijamii mnaiona kama familia eeh tena ndugu wa tumbo moja, mbona mnajimaliza sana huku yani kias mtu anaezakukujua A2Z kupitia jf tu🤔
Hongera sana.Hamjambo?
Kiukweli sina hata la kusema ndugu zangu..ila mungu awabariki mama zetu aisee dah am speechless kwakweli
Nashukuru Allah nilijifungua salama usiku wa kuamkia ijumaa na sasa nimekuwa mama!
Ni hayo tu
View attachment 3295688
Hongera,bora umetuongezea kidume mwenzetu mana hizi pisi nyingi kuzidi aje atusaidie kuzigawana.Hamjambo?
Kiukweli sina hata la kusema ndugu zangu..ila mungu awabariki mama zetu aisee dah am speechless kwakweli
Nashukuru Allah nilijifungua salama usiku wa kuamkia ijumaa na sasa nimekuwa mama!
Ni hayo tu
View attachment 3295688
Sio sawa, kuna Mambo Public, Private and Secret issues. Mambo ya kifamilia ni Private ndo maana wengi mnaishia njian sababu ya kuexpose kila kitu. Watu hawapend kukuona unasonga punguzeni midomo mitandaoni.Kwani kuna ubaya gani jamani mbona watu mnachukulia mambo siriaz sana......
Yani mtu sikujui haunijui itaathiri vipi mkuu? Mimi naona mtu afanye kile anacho ona ni sahihi bila kujibanabana ,kama hakina madhara kwa wengine.Sio sawa, kuna Mambo Public, Private and Secret issues. Mambo ya kifamilia ni Private ndo maana wengi mnaishia njian sababu ya kuexpose kila kitu. Watu hawapend kukuona unasonga punguzeni midomo mitandaoni.
Tupige story tucheke, tujadil siasa na mipira, tutaniane tuombane ushauri ila mambo unayoweza kukaa nayo na usipungukiwe basi kaa nayo.
Sawa.Yani mtu sikujui haunijui itaathiri vipi mkuu? Mimi naona mtu afanye kile anacho ona ni sahihi bila kujibanabana ,kama hakina madhara kwa wengine.
Ina athiri vipi mkuu? Tena kwa hizi fake I'd?Sawa.