Nimekuwa mama

Nimekuwa mama

Hamjambo?
Kiukweli sina hata la kusema ndugu zangu..ila mungu awabariki mama zetu aisee dah am speechless kwakweli
Nashukuru Allah nilijifungua salama usiku wa kuamkia ijumaa na sasa nimekuwa mama!
Ni hayo tu

View attachment 3295688
Nmekuuliza kwenye ile ID yako uko maternity?? Kumbe nlikua sawa.....ni muda saaa nifungue kanisa


Hongera new mom, say hello kwa jina wetu.....🥰
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom