Nimekuwa mama

Nimekuwa mama

ulipotea haswa, kumbe ulikuwa leba

umetupa taarifa tangu unaenda kuolewa ukiwa honeymoon umeolewa mwezi wa saba, naona honey moon imezaa matunda
 
ulipotea haswa, kumbe ulikuwa leba

umetupa taarifa tangu unaenda kuolewa ukiwa honeymoon umeolewa mwezi wa saba, naona honey moon imezaa matunda
Ila wewe 😃
 
Nyamwi, nyimwa, mwinyi, nyemwa, limwanya, nyamwili
Hongera sana 🙏🙏🙏nimefurahi sana
 
Hamjambo?
Kiukweli sina hata la kusema ndugu zangu..ila mungu awabariki mama zetu aisee dah am speechless kwakweli
Nashukuru Allah nilijifungua salama usiku wa kuamkia ijumaa na sasa nimekuwa mama!
Ni hayo tu

View attachment 3295688
Ashkuriwe Mungu. Kumbuka sadaka ya shukrani. Japo kwa wamama wahitaji wanaojifungua.

Mtoto atalelewa na baba na mama, au ni wewe mama pekee?😎😎😎 Singo mommy
 
Hongera Sana. Ni kipindi ambacho inatakiwa jitunze sana. Ukijiachia mwili unaharibiwa na kupotezea mvuto, sura itajinenepea, nyonyo ziraporomoka, tumbo litatangulia mbele n etc
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom